Rais Kikwete na safari za nje

Rais Kikwete na safari za nje

Tatizo la watu kama nyinyi hampendi fikra na mawazo tofauti na mliyokuwa nayo na itokeapo hivyo huanza kuzungumza jamvini kama tupo kwenye kipindi cha leo tena cha clouds
 
Achai unazi kama hizo data za safari zake umeweza kuzipata basi vilevile toeni data za misaada kwa sababu karibu safari zote ni aidha kuomba misaada, wawekezaji na wakati mwingine huenda na wafanyabiashar wa tz kwa vile wewe ni mtaalam basi tufanyie cost benefit analysis gharama za safari vis avi misaada/mikopo/investments wacheni siasa sizizo saidia nchi hii.

Ukitaka kufanya hiyo kikamilifu usiangalie misaada/uwekezaji angalia pia na hasara zinazotokana na absence yake na kukosa muda wa kufikiria namna ya kutumia rasilimali tulizonazo badala ya kuombaomba hovyo. Hivi unadhani ombaomba wangekuwa wanafanya hiyo cost benefit analysis wangekuwa wanaendelea kuomba?
 
Hivi hizi safari za raisi kujitambulisha zina umuhimu wowote kweli kwenda kufuja pesa wakati anaweza akasubiri tu mpaka ziara rasmi ikifika yenye kuhusu maendeleo ya nchi akatumia nafasi hio? Ukiangalia vizuri nchi zote alizoenda kujitambulisha baadae kulikuwa na safari ya kitaifa kwenye nchi hizo na hapa angetumia nafasi hio kujitambulisha.kwa njia hio tutaweza kupunguza gharama za kipuuzi na hio ifanyike hata kwa maraisi watakaokuja baadae.
 
Achai unazi kama hizo data za safari zake umeweza kuzipata basi vilevile toeni data za misaada kwa sababu karibu safari zote ni aidha kuomba misaada, wawekezaji na wakati mwingine huenda na wafanyabiashar wa tz kwa vile wewe ni mtaalam basi tufanyie cost benefit analysis gharama za safari vis avi misaada/mikopo/investments wacheni siasa sizizo saidia nchi hii.

Misaada? sasa mbona watoa misaada wame-slice hiyo misaada badala ya kuongeza kama kweli misafari yao ilikuwa inafaida kwa watanzania?....
A%20S%20clock.gif
 
Kwa vile sipo kwenye uongozi serikalini sijui kama wafanya [kwa vile kuna wataalam naamini wanafanya].
lakini maamuzi mengi hasa yanayo husu raslimai [hata kwenye biashara/kilimo] ni budi kufanyika hivyo ili uzuri na ubaya [faida /hasara zijulikane kabla ya ku-amua
 
Achai unazi kama hizo data za safari zake umeweza kuzipata basi vilevile toeni data za misaada kwa sababu karibu safari zote ni aidha kuomba misaada, wawekezaji na wakati mwingine huenda na wafanyabiashar wa tz kwa vile wewe ni mtaalam basi tufanyie cost benefit analysis gharama za safari vis avi misaada/mikopo/investments wacheni siasa sizizo saidia nchi hii.

Cost benefit ya kwanza ni kwa wahisani kupunguza kuchangia bajeti yetu ili JK asisafiri sana na la pili ni maisha magumu kwani wawekezaji wanakuja kwa wingi kutunyonya.Na bado anasema hawajamjua nchi kibao lazima akauze sura.Akipewa tu uraisi anaaza kwenda kuuza nyago.
 
Achai unazi kama hizo data za safari zake umeweza kuzipata basi vilevile toeni data za misaada kwa sababu karibu safari zote ni aidha kuomba misaada, wawekezaji na wakati mwingine huenda na wafanyabiashar wa tz kwa vile wewe ni mtaalam basi tufanyie cost benefit analysis gharama za safari vis avi misaada/mikopo/investments wacheni siasa sizizo saidia nchi hii.

Abunuwasi we ni sumu kaka.Cost bebnefit ya kwanza ni kwa kupunguzwa kwa nchi rafiki kuchangia bajeti yetu ya 2010/11 na maisha kupanda kwa asilimia 80% kwani wawekezaji wamekuja wakawa wakwekwezaji na kubeba kila kitu.Huyu muuza nyago tu hana lolote na kasema bado hajauza nyago nchi kibao tukimpa tu uraisi October anaenda kuuza nyago ughaibuni.
 
Achai unazi kama hizo data za safari zake umeweza kuzipata basi vilevile toeni data za misaada kwa sababu karibu safari zote ni aidha kuomba misaada, wawekezaji na wakati mwingine huenda na wafanyabiashar wa tz kwa vile wewe ni mtaalam basi tufanyie cost benefit analysis gharama za safari vis avi misaada/mikopo/investments wacheni siasa sizizo saidia nchi hii.

Safari zake hazina manufaa yoyote kwa taifa. Bora angebaki nyumbani na kusimamia uchumi wa taifa kuliko kuzurura kwake. Kama zingekuwa na manufaa wafadhili wasingetangaza kupunguza misaada kwa serikali mwaka ujao.

Wafadhili wameona bora wabaki na pesa zao kuliko kuwapa mchwa watafune.
 
Mmmh wote huo ni umasikini wa fikra za viongozi wetu, hawajiulizi mbona wao wanaowaendea wao wakiingia madarakani huwa hawaji kujitambulisha huku Bongo
 
huo mchakato haujakaaa vizuriiiiiiii, kwa mfano akienda marekeni trip moja na wapambe wake wale anaowaita wafanya biashara - kuna moja walikuwa 90, ticket moja retun ticket $4,000=$360,000, Accomodation na madhagazaga mengine one trip inakaribia 1.billion, kwa trip kumi alizokwenda kwa mwaka si 10. billion, wewe umeweka 2.4 billion tu?
 
Matumizi nje ya bajeti ni makosa makubwa kwa serikali adilifu. Kama matumizi yapo nje ya bajeti basi serikali nzima haina ubavu wa kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha za umma kutokana na TOP kuwa mfano bayana wa kukosa uadilifu. Huo ndio ufisadi namba moja.

Hata manufaa ya safari hizo hayazungumnziki kwa sababu ya msingi wa kukiuka nidhamu ya matumizi ya bajeti. Nadhani kuna sababu tusiyoijua ya matumizi yanayokiuka nidhamu ya matumizi ya bajeti. La msingi ni kitu gani kinafanyika kurejesha nidhamu na kuwajibisha wabadhilifu hao
 
Abunuwasi et al: Unasema kuwa safari zake zimeleta misaada. Tutaendelea kuishi kwa misaada mpaka lini ndugu yangu?
Nchi tuakusanya 45% ya kodi tunayotakiwa kukusanya badala ya kuweka mikakati ya kukusanya kodi unaenda kutembeza bakuli. Hiyo akili au matope?
Vitu vingi sana vinaweza kufanywa bila kusafiri, kwani Mwai Kibaki kaenda lini Ulaya na Marekani? Kenya hawaendelei? Hamna kitu kibaya duniani kama ufukara wa mawazo. Nilitarajia hoja zenye nguvu zaidi.
Kuna maswala ya msingi hapa wasaidizi wanalipwa dollar 500 kwa siku. Kwa serikali ya marekani ukiwa New York per diem yao ni kama dollar 135. Hizo dollar 500 ndo vigezo gani? Wao wana-nini haswa? Hizi double standard ndo zinanifanya niumwe na roho sana. Ni unyama ulioje kujilipa mshahara wa mtu wa miezi kumi kwa usiku mmoja?
Nimeboreka ahaa
 
Mwanahalisi mnaniudhi kwa kweli. Hizo safari hivi hamuoni kuwa zina tija? Bado za ndani ambazo ni nyingi mbona hamzisemi? Ingekuwa anaenda nje tu na mikoani haendi hapo ndiyo mngeimba kweli. Hamna maana nyie.
 
yaani kuna watu wanahalalisha kuwa anaenda safari kuomba misaada!? Yaani, ni sawa na watu wanaofurahia baba amewaachia shamba nguchiro, vigavi, na nyani wale halafu yeye anachukua kidogo kilichopo kwenda kuhamia kwa jirani! Kweli:

a. NI misaada hiyo ya lazima anayoenda kutafuta?
b. Ni ya vitu ambavyo tumeshindwa kabisa kuvifanya sisi wenyewe (msisitizo uko kwenye "kabisa")
c. Ni kweli misaada hiyo ingepatikana endapo TU Rais angeenda huko (msisitizo uko kwenye "TU")

Hivi, alienda Marekani kukaribisha watu wa Sullivan, Mkutano ukafanyika kwa mbwembwe kubwa, je Sullivan iliwanufaisha vipi wafanyabiashara wetu wadogo wadogo ambao walienda na kufungua vibanda umbali mkubwa toka kwenye mkutano? Tukiuliza tunaambiwa "hamkuona faida hadi watu wa Sullivan walikuja, tukatangazwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, na kuvutia watalii ambao wataleta fedha za kigeni".. Really? Have we stooped that low in our collective reasoning capacity?
 
Hii culture ya kupeana posho ya kusafiri sijui chanzo chake ni nini. Kwa sababu kufanya kazi nje ya kituo chako ni moja ya majukumu ya kazi uliyosaini [ job description ]na kwa mshahara ulioukubali. Unaposafiri mwajiri wako anakulipia gharama zote za chakula na malazi, kwa sababu haupo kwenye kituo chako cha kazi, au nyumbani. Wafanyakazi wa makampuni mengi wakisafiri wanapewa company credit card ambayo matumizi yake ni hotel [kwa maana ya malazi na chakula, vinywaji ] basi, hawapewi eti dola 350 per night kwa sababu wameenda India au Canada.
Kwa hiyo sisi tunawalipa hawa watu mara mbilimbili !! Na bora wangekuwa wana-produce basi, au wana- achieve kitu na misafari yao isiyoisha.
 
Muungwana huyo jamani....amri mpya, nguvu mpya na kasi mpya ya KUTUFAKIRISHA:::::::::target:
 
Huyu Rais baada ya kupita kipindi chake cha uongozi napata mashaka atakikimbia kivuli chake mwenyewe kuliko Rais mwingine yoyote yule so far. Hakuna la maana analoweza kutuonyesha kuwa amelifanya....ni mikutano ya seminar elekezi, mara sullivan mara yuko nje, mara WEF etc etc. Hizi resources zinazotumika ata accaunt vipi? Atuonyeshe faida ya anayofanya maana wengine hatuzioni. Hii serikali imekuwa mzigo mkubwa kwetu walipa kodi na haituletei maendeleo sisi kama nchi kwa namna inavyofanya kazi.
Kweli sikio la kufa halisikii dawa!!
 
Na it seems safari bado ii ndefu na hakuna dalili za dereva huyu kukabidhi chombo kwa mwingine aijuaye njia nzuri ya kutufikisha safari ye2. Hima tumtoe kwenye usukani kabla .........
 
Hii ingweza kulipa mishahara ya mwaka mzima kwa wafanyaki takribani 72 kwa kima cha chini cha shs 315,000 kwa mwezi.

Du kweli hii balaaa; WEZI WATUPU; ETI ANATOA MIMACHO KUWATUKANA MABABA ZZETU WANAOPIGANIA HAKI ZAO KAMA CHURA ALIYEBANWA MLANGONI; WIZI MTUPU ANG'OLEWE 2010
 
Back
Top Bottom