Mkuu kuwa mkweli, post zako nyingi ulikuwa unamponda sana Mr Dhaifu ila baada ya kupata vyeo ndani ya CCM umemuona ameokoka ghafla. ulikuwa unaona ccm inakwenda siko na ulikuwa mstari wa mbele kumwita Chenge, Lowasa, Rostam magamba na umewahi kusema waondoke ama ccm ife, je leo wameondoka.
Uliwahi kusema CCM imepoteza mwelekeo na inaongzwa na wafu.
Umesema mengi sana itabidi nifukue database leo umepewa kijikazi kidogo kwa ujira umesahau yote na umekuwa mstari namba moja kuwa na hoja dhaifu na kutetea hata uozo kisa ni kutetea maslahi tumbo.
Kumbuka kwanza maneno yako mwenyewe ndio ujibu.
Alamsiki.