Yataje hayo matatizo mkuuWakuu
Ni jambo la kusikitisha na kuuzunisha kwa baba au mkuu wa nchi kusafiri na kuacha nchi yake katika dimbwi la matatizo.
Kwa habari nilizo zipata mkuu wa nchi yupo Kenya na mkewe amelakiwa na Kibaki, ni jambo la kushangaza sana embu tujadili hili swala bila kuweka itikadi zetu hapa.
Source: Channel ten
aiseee babaangu hakuna msiba ikuli kunachosha ameona atoke na mkewe
Tana river kuna wakwele hukooo?Msiba upo kule Tana River yalipotokea mapigano ya kikabila...wanazika leo.