Rais Kikwete linda wananchi, mnyarwanda anadhalilisha wananchi wako kiasi hiki

Asante kwa ufafanuzi, maana watu wanaropoka tu!

Inashangaza sana. Watu wanaandika kwa ushabiki tu bila facts zozote. Prof Shem ni mtanzania mtusi, kama ambavyo kuna watanzania wenye asili ya Asia, somalia, Malawi, n.k. lakini bado ni watanzania. Na hilo shamba ni haki yake kabisa. Mgogoro umeletwa na wakorofi wachache wenye kutaka kuonewa huruma hata pale wasipo na haki.
 
Go tell that to your government! Au haujui kuwa hata wewe hapo ulipojenga serikali yako inaweza kukuhamisha wakati wowote ule, utake usitake, hiyo ndiyo sheria! READ THE LAW, ardhi uliyokalia umekodishiwa tu na serikali, si mali yako.

Kwani wewe ni nani mkuu, mbona una majibu ya Kipimbipimbi?
 
Inashangaza sana. Watu wanaandika kwa ushabiki tu bila facts zozote. Prof Shem ni mtanzania mtusi, kama ambavyo kuna watanzania wenye asili ya Asia, somalia, Malawi, n.k. lakini bado ni watanzania. Na hilo shamba ni haki yake kabisa. Mgogoro umeletwa na wakorofi wachache wenye kutaka kuonewa huruma hata pale wasipo na haki.

Siku hizi Tanzania inatambua uraia nchi mbili? Jamaa ni Waziri Nchini Rwanda alafu unamuita Mtanzania?
 
Jamani c wanyarwanda wote wana roho hiyo.. yy anafanya hvyo kwa manufaaa yake.... ahukumiwe yeye kama yeye... tukianza kubaguana hapa tutabaki nchi inayoendelea kila siku.

Samaki mmoja akioza?...
 
hawa jamaa dawa yao ni ile mchakato wa kuwaruisha kwao uanze kwa awamu engine
Mtarudisha wangapi? Enz za Nyerere wazungu wote walifukuzwa.. ikasababisha mpaka sasa English imekuwa ngumu kwa waTZ wengi then leo inang'ang'aniwa kuwa lugha ya pili ya Taifa
 
Mtarudisha wangapi? Enz za Nyerere wazungu wote walifukuzwa.. ikasababisha mpaka sasa English imekuwa ngumu kwa waTZ wengi then leo inang'ang'aniwa kuwa lugha ya pili ya Taifa

Na bado!wale wote wanaokuja kuleta ubabe kwenye nchi za watu hawatavumiliwa!
english kitu gani ww
 
Ee Mungu wa Tanzania ninakuomba uzichukue roho za mafisadi wote wa tanzania Usiku huu ambao wanalididimiza taifa hili, hakuna tumaini tena!. AMEN.
 
MSHINO tunashukuru kwa hili ila serikali tulionao ni hasara kwa jamii wewe acha tu!

Sijui kama hili watalifanyia kazi kwa kweli!
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi Tanzania inatambua uraia nchi mbili? Jamaa ni Waziri Nchini Rwanda alafu unamuita Mtanzania?

Habari za Uraia wake sizijui zaidi ya kuwa in mtanzania. Ninajua alipewa ukurugenzi fulani kule Rwanda lakini sasa kibarua kimeota nyasi. Nafahamu Kuwa anaishi Morogoro maeneo ya kilakala.

Kupewa kazi nchi nyingine hakukupotezei utanzania wako. Lipumba alishakuwa mshauri wa uchumi Uganda, mwanzilishi wa makondeko alishawahi kuwa Balozi wa Seychelles hapa nchini ilhali yeye alikuwa Mbongo tu.
 
Mtarudisha wangapi? Enz za Nyerere wazungu wote walifukuzwa.. ikasababisha mpaka sasa English imekuwa ngumu kwa waTZ wengi then leo inang'ang'aniwa kuwa lugha ya pili ya Taifa

mkuu hapa umeongea pumba kubwa!!!hivi unadhani kujua english ni solution ya matatizo yote!!!nitakupa mfano mdogo unajua uk iko karibu sana na france,lakini wafaransa hawajui english kabisaa yet uchumi wao ni mkubwa kuliko uk!!!je unajua taifa lenye nguvu kiuchumi na maendeleo ya tech ulaya ni germany na raia wake hawajui english kabisa!!!unajua baada ya us kwa uchumi mkubwa inafuata china na japan nchi ambazo raia wake hawazungumzi english kabisaa!!!
 
Habari za Uraia wake sizijui zaidi ya kuwa in mtanzania. Ninajua alipewa ukurugenzi fulani kule Rwanda lakini sasa kibarua kimeota nyasi. Nafahamu Kuwa anaishi Morogoro maeneo ya kilakala.

Kupewa kazi nchi nyingine hakukupotezei utanzania wako. Lipumba alishakuwa mshauri wa uchumi Uganda, mwanzilishi wa makondeko alishawahi kuwa Balozi wa Seychelles hapa nchini ilhali yeye alikuwa Mbongo tu.

nina mashaka huyu anaweza kuwa agent wa pk, wala siyo kibarua kuota nyasi!!!!huyu akichunguzwa vizuri utakuta ndugu zake wote wako rw!!!!
 
Back
Top Bottom