Rais Kikwete linda wananchi, mnyarwanda anadhalilisha wananchi wako kiasi hiki

Hit Who, Me?!..lol!
FYI, Mimi nimezaliwa peasant katika familia ya wakulima na wafugaji, nimezaliwa kijijini, nimechunga ndama na mbuzi, babu zangu waliacha eneo la zaidi ya ekari 800 huko kanda ya ziwa, maisha yote tumeishi kijima ni mimi ndiyo nimekuja kufanya documentation na wanachungia ng'ombe ndugu na jamaa mpaka sasa. Mimi nina eneo linakaribia ekari mia4 nyanda za juu, liko well documented, na sasa natafuta eneo lingine la ekari laki moja! Mimi ni mkulima, mimi ni mfugaji makini, nahakikisha eneo lolote nnamiliki KIHALALI na KISHERIA! Wanakijiji wengi hawaijui sheria ya ardhi ya nchi yao ndiyo maana hawaishi kulalama, nyie mliokwenda shule kidogo badala ya kuwaelimisha mnawafundisha ubaguzi, SHAME!

CC: MSHINO
Nini tofauti ya ardhi iliyopimwa na isiyopimwa?
When it comes to ownership.
 
Yaani hii nchi yetu hii, hadi watu wanatuwekea vidole machoni tupo tumekaa tu, hbr za mtu huyu zimetangazwa ITV kwa siku kadhaa but hata mkuu wa mkoa sijamsikia kwenda kuwaona wale wananchi achilia mbali kutoa tamko (nchi ya matamko na tume)

Mkuu wa mkoa atatoaje tamko endapo na yeye ni miongoni mwa wapokea rushwa? Angalia usawa wako usepe ukimwangalia mwenzako utakufa maskini. Hiinndio kauli mbiu ya viongozi wetu
 
Mkuu ni kweli huruma na haki ni vitu tofauiti, lkn kumbuka migogoro ya ardhi ina matatizo makubwa sana, kuna watu wanatumia uwezo wao kiuchumi kusumbua wasionacho. kuna watu kwenye ardhi hasa wanaojua artdhi km wachaga ambao ardhi kwao ni ndogo/haitoshi kwa sasa. nafikiri unakumbuka yule Bw. Kombe alivyovamia kiwanja cha R.I.P Mwl JK Nyerere msasani. fikiria mtu anathubutu kuvamia kiwanja cha familia nzito km ya Mwl Je mtu wa kawaida ingekuwaje? Mgogogoro huu tunaufahamu muda mrefu na kwa bahati nzuri huyu sham tunamfahamu pia, hata maana ya jina lake (NDABIKUNZE) Kwa kinyarwanda maana yake NAVIPENDA. km km kuna kesi mahakamani labda mahakama imempa ushindi basi wananchi walipaswa kupewa notice ya kuhama na viongozi wa kijiji wangepwa taarifa.

Kwanini wahamishwe? Kwa misingi ipi?
 
Wewe unaongea tu kwaani hujui tatizo unalopka tu nahisi .... wananchi wanalia wanalala nje wewe unasema tunalalamika kwa chuki ziszo na msingi. nenda Moro ukaone akina mama na watoto wanavyo lala nje. Hebu fikiria km mzazi wako au mdogo wao analala nje ungekuwa unatema povu km hili?

Tunapoelekea ni kila mgeni Tanzania ataishia kuchukua kipande chake na kumiliki kibinafsi na sio kwa maslai ya wananchi eventually mtanzania halisi atakua mgeni nchini kwake. Je is that what our leaders what?
 
Mtarudisha wangapi? Enz za Nyerere wazungu wote walifukuzwa.. ikasababisha mpaka sasa English imekuwa ngumu kwa waTZ wengi then leo inang'ang'aniwa kuwa lugha ya pili ya Taifa

So Prince unakubali unyanywaswaji wa wananchi wenzako kisa unaogopa ku.....?
 
Nafikiri baada ya kuona thread hii jana amejitokeza ITV na kusema eti wkt polisi wanavunja yeye hakuwepo eneo la tukio hivyo atawasaidia waliovunjiwa, eti lengo lake ni kuwaendeleza wenyeji kwa kuwapa ngombe wa maziwa km kuwakopesha. Pia amesema kw eneo alinunua kwenye chama cha ushirika MORO na anadai baadhi ya wananchi zaidi ya 100 aliwalipa fidia, swali km eneo alilinua ktk chama cha ushirika kwa nini aliwalipa fidia wananchi wa kawaida? Me ninavyojua eneo analomiliki ni tofauti na hili lenye mgogoro na kesi ya msingi iko mahakamani.
 
wewe una umri gani? ardhi yote hata hapo alipojenga baba yako ni mali ya serikali, inaweza kubadilishwa matumizi muda wowote!

Umri hauhusiani na kujibu swali. Serikali ni nani kama sio wananchi? So coz of my vote nimekipa leadership ndio uniyote mahala napoita home bila sababu? Nikajenge wapi hewani?
 
Umri hauhusiani na kujibu swali. Serikali ni nani kama sio wananchi? So coz of my vote nimekipa leadership ndio uniyote mahala napoita home bila sababu? Nikajenge wapi hewani?

Lol! utaelewa muda ukifika!
 
wewe una umri gani? ardhi yote hata hapo alipojenga baba yako ni mali ya serikali, inaweza kubadilishwa matumizi muda wowote!

Kutoka makazi ya Raia kwenda kwenye majosho ya ngombe? Wananchi 300 unawaacha bila makazi, tena mbaya zaidi kesi iko mahakamani, ana bahati wangemfanya kama Mabina.
 
Kutoka makazi ya Raia kwenda kwenye majosho ya ngombe? Wananchi 300 unawaacha bila makazi, tena mbaya zaidi kesi iko mahakamani, ana bahati wangemfanya kama Mabina.

Wewe umefuatilia lakini au unachanganya mambo mawili tofauti, eneo lenye kesi na eneo waliohamishwa watu ni lingine! Watu wabishi sana sehem zote zinazohusu ardhi ni migogoro, hata Mzee Mzindakaya alisumbuliwa sana siku za hapo nyuma, wananchi tunatakiwa tuwe makini ardhi kama tunamiliki kihalali TUZIPIME TUWE NA HATI, hata ikitokea muwekezaji anahitaji eneo hilo ni mazungumzo kati yake na wewe sasa, siyo tunazubaa wajanja wanakuja tunaanza kupiga makelele!
 
Wewe umefuatilia lakini au unachanganya mambo mawili tofauti, eneo lenye kesi na eneo waliohamishwa watu ni lingine! Watu wabishi sana sehem zote zinazohusu ardhi ni migogoro, hata Mzee Mzindakaya alisumbuliwa sana siku za hapo nyuma, wananchi tunatakiwa tuwe makini ardhi kama tunamiliki kihalali TUZIPIME TUWE NA HATI, hata ikitokea muwekezaji anahitaji eneo hilo ni mazungumzo kati yake na wewe sasa, siyo tunazubaa wajanja wanakuja tunaanza kupiga makelele!

Wananchi wangapi hasa wa vijijijni wanayo Elimu ya umuhimu wa kuwa na Hati ya kumiliki ardhi? Je huyo mwekezaji hilo eneo alilinunua kabla yb wanancha kuwa na makaazi hapo au aliwkuta, maana watu 300 ni kijiji.
 
Wananchi wangapi hasa wa vijijijni wanayo Elimu ya umuhimu wa kuwa na Hati ya kumiliki ardhi? Je huyo mwekezaji hilo eneo alilinunua kabla yb wanancha kuwa na makaazi hapo au aliwkuta, maana watu 300 ni kijiji.

Kutokuwa na elimu nalo ni tatizo la muwekezaji? Yeye kaomba ardhi kapewa na serikali, wakati serikali inampa ilijua kabisa kwamba kuna watu pale, na kwa sababu sera ya ardhi inairuhusu serikali kubadili matumizi ya ardhi muda wowote hilo si kosa la muwekezaji, hata wewe hapo ulipojenga kibanda chako unaweza kuambiwa bomoa mwekezaji anataka kujenga kiwanda!
 
Nafikiri baada ya kuona thread hii jana amejitokeza ITV na kusema eti wkt polisi wanavunja yeye hakuwepo eneo la tukio hivyo atawasaidia waliovunjiwa, eti lengo lake ni kuwaendeleza wenyeji kwa kuwapa ngombe wa maziwa km kuwakopesha. Pia amesema kw eneo alinunua kwenye chama cha ushirika MORO na anadai baadhi ya wananchi zaidi ya 100 aliwalipa fidia, swali km eneo alilinua ktk chama cha ushirika kwa nini aliwalipa fidia wananchi wa kawaida? Me ninavyojua eneo analomiliki ni tofauti na hili lenye mgogoro na kesi ya msingi iko mahakamani.

huyu mtu hizi fedha zote za kufidia hizi kaya anatoa wapi huyu anaweza kuwa agent wa slimboy huyu,!!!!!
 
Kinachosikitisha ni kwamba watu wa kawaida wanajuwa haya ila mkuu wetu ndiye hajuwi...na wananchi wakija kulalamika nothing is done. I suspect Kikwete pia ni Mnyarwanda.
 
Inasubiri nini kumnyang'anya uraia? Kumbe shida yenu ni Unyarwanda wake? Wakina kinana na wakina Bhashe wana asili ya wapi vile? Anayeleta ubaguzi ni nani, mimi au aliyeleta thread?!!! FYI, mimi ni Mtanzania zaidi yako.

Mkuu haya yameanza baada ya watu zaidi ya 300 kukosa makazi kutokana na ukatiri wa huyo bwana, akina bashe wakifanya ukatili kama huu nao watasemwa hivyo hivyo.
 
Kutoka makazi ya Raia kwenda kwenye majosho ya ngombe? Wananchi 300 unawaacha bila makazi, tena mbaya zaidi kesi iko mahakamani, ana bahati wangemfanya kama Mabina.


Kama kweli yeye ni kudume aende wakati huu aone. Kwa uharibifu alioufanya hatokanyaga kule mpaka wananchi watakaposahau yaliyowasibu. Ingekua Rorya/Tarime sina uhakika kama mifugo yake ingekua salama.
 
Back
Top Bottom