gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,323
- 3,378
Jk ni jembe kwa vilaza
jk ni raisi wa tz ukiwemo na wewe hivyo wewe utakua kilaza no 1
Jk ni jembe kwa vilaza
Mjenga umedhihirisha Upoyoyo wako hadharani tena bila chenga,unaonekana ni mtu wa kukurupuka na ambaye huwezi kujenga hoja,badala ya kujibu swali unazungukazunguka bila kutoa majibu.Ebooooo huu si upoyoyo, hivi kama umeweza kuorodhesha utumbo wote huo halafu itakuwaje usiweze kuorodhesha utumbo mwingine wa majibu ya utumbo wako wa awali!?!?.