Ndugu yangu, suala la Rushwa si rahisi kama CHADEMA wanavyolizungumzia. Kiongozi mpya (Katibu wa chama) wa chama cha KIKOMUNISTI CHA CHINA katika hotuiba yake amelieleza tatizo la rushwa ndani ya chama kama changamoto kubwa iliyopo kwa chama sasa hivi.
Kumbuka kama kuna nchi unapata adhabu ya kifo kwa viongozi wa juu wanapokutikana na hatia hiyo duniani, ni CHINA. Lakini tatizo bado ni pevu. Hili ni tatizo zito na wala si la kutatuliwa kwa mwaka wala miaka mitano.
La msingi ni kulikubali tatizo na kuwa na dhamira ya kulitokomeza.
kwa mtazamo wako rushwa inazungumzwa na chadema tu.kwa hiyo kiongozi mkuu kuhusishwa na rushwa kwa ccm rukhsa,
kumbuka jk alikejeli chadema kuweka hadharani list of shame,lakini mwishowe akaweka kamati ya kuwasafisha kagoda.
vipi richmond na dowans?
hapo dhamira ya kupambana rushwa iko wapi?
kuwa mzalendo ipende nchi yako hakuna rafiki wala adui wa kudumu ktk siasa ndiyo maana nchi kama ufaransa Miterand hakuweza kurudi madarakani kwa muhula mwingine kwa sababu hakukidhi haja.
hapa miaka hamsini na ukweli mnauona lakini kwa sababu ya matumbo yenu mnataka kuleta upotoshaji eti si rahisi kama chadema wanavyosema tuelezee ccm mnapambanayo vipi?
Kwa kulalamika jukwaani?"..zamani rushwa ilikuwa na wanaume lakini sasa hata nyinyi wanawake.."
ana takukuru,tume ya maadili ya uongozi etc etc.polisi anawatumia kupiga chadema si kukamata wala kupeleka mahakamani.
kwa style hii i prefer chadema.bakini na upambe wenu wa ccm