Rais Kikwete kupiga kura Chalinze kesho

Rais Kikwete kupiga kura Chalinze kesho

Joined
Jan 4, 2014
Posts
60
Reaction score
31
Rais jakaya Kikwete kesho asubuhi na mapema atakuwa akipiga kura sambamba na mwanae asubuhi na mapema., Kama mwana Chalinze atatimiza haki yake ya kimsingi... Bonge la boost kwa Riz moko...
 
Ataendeleza udanaganyifu tu na usanii Kwa wakwere wasiojitambua kwamba mwanae ataweza aliposhindwa yeye!
 
1396725389543.jpg
Warioba tutakukumbuka ulivyoitesa ccm
 
JK sio mkazi wa jimbo la Chalinze.
hata uchaguzi uliopita alipiga kura katika jimbo lake la Msoga bagamoyo.
Tujikumbushe. mwaka 2010.
jk+apiga+kura.JPG

Rais Jakaya Kikwete leo ameongoza Watanzania kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Maadiwani na Rais Abeid Amani Karume akiongoza kwa upande wa Zanzibar. Pichani rais Kikwete akipiga kura yake kijiji cha Msoga, mkoa wa Pwani.
 
Hivi mbunge wa jimbo la Bagamoyo ni nani vileeee!
 
Mimi mwenyewe nitamkataa Riz ktk kura ntakayopika ktk shule ya msingi Mbwewe,nitaipa chadema hata isiposhinda.
 
Jimbo la Chalinze lipo Wilaya ya Bagamoyo.
 
Labda nikusaidie tuu maana inaonekana wewe nchi hii huijui vizuri sijui mnyarwanda... Msoga ipo jimbo la Chalinze lakini ukitoka Dar kiurahisi kufika unapitia bagamoyo bwana... Ubaya wenu wengi kayumbaaaa..!
 
Potelea kwa mbali atakama Cdm wasiposhinda lakin kula yangu kwenye uchaguzi wa chalinze ntawapa
 
Hivi mbunge wa jimbo la Bagamoyo ni nani vileeee!

Ni z.u.z.u limoja hivi kuongea alijui, ukimtazama tu aeleweki, ni mganga (doctor) yan achijitambuia kabisa

Kwa upande wangu simuelewagi kabisa na shukuru sana kumjua.
 
Labda nikusaidie tuu maana inaonekana wewe nchi hii huijui vizuri sijui mnyarwanda... Msoga ipo jimbo la Chalinze lakini ukitoka Dar kiurahisi kufika unapitia bagamoyo bwana... Ubaya wenu wengi kayumbaaaa..!
Na kayumba imeletwa na Magamba
 
Riz 1 chukua jimbo hilo ukomboe Wanachalinze wenzio na umasikini walionao hali imeshakuwatete, i knw u can boy, kaza buti kijana, pamokoooooooo....
Safi Mh. Jakaya toa sapoti kwa kijana nakuhakikisha anabadili manzingira ya nyumbani Chalinze.
ni hayo tu.
acha nikaendeleze usingizi wangu nilipoishia.
 
Back
Top Bottom