Hemed Mzee Hemed
Senior Member
- Jun 26, 2013
- 186
- 41
Msoga ni moja kati ya kata 15 za jimbo la chalinze.. kata jirani na kata hii ni msata na Lugoba.JK sio mkazi wa jimbo la Chalinze.
hata uchaguzi uliopita alipiga kura katika jimbo lake la Msoga bagamoyo.
Tujikumbushe. mwaka 2010.
![]()
Rais Jakaya Kikwete leo ameongoza Watanzania kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Maadiwani na Rais Abeid Amani Karume akiongoza kwa upande wa Zanzibar. Pichani rais Kikwete akipiga kura yake kijiji cha Msoga, mkoa wa Pwani.