Rais Kikwete anataka kuingizwa mkenge

Rais Kikwete anataka kuingizwa mkenge

mh rais yuko sahihi sana na apo katumia hekima kuondoa urasimu, mm ningekuwa karibu naye nimgemshauri idara ya uhamiaji ndo iangaike na wageni, wakishakuja kama wageni ndo waombe ajira...aya ya mtu kuona nafasi then anatumbukia si sawa, aje kama mhamiaji then ndo aombe kazi alafu idara husika ya kazi inaweza kukomfemu uhamiaji kama uyo mtu ni halali kuwepo nchini basi...Mh rais songa mbele, tatizo umeliona!
Unachosema ndicho kinachofanyika hivi sasa vibali vinaanzia 'Labour office' na kutolewa 'Immigration department' hapa sijaona tatizo. Lakini ikibalidishwa itakua ni kituko kwa kuwa sijaona nchi yoyote dunia work permit ikatolewa na mamlaka nyingine kinyume na Immigration department au Immigration police

 
Si kila mtu mweupe ni mgeni, wengi wao ni raia kwa kisheria.


Raia wa kigeni kwangu yeyote yule asiye Mtanzania anayeishi nchini, hilo la weupe unasema wewe. Tembelea kampuni binafsi hasa zinazomilikiwa na raia wa kigeni halafu wewe mwenyewe utarudi kukubaliana na kauli yangu.
 
kwa mtazamo wako unakumbatia rushwa za uhamiaji. Hata idar ya kazi ikitoa vibali vya kazi, uhamiaji bado itahusika kuwatambua wageni wakorofi. Wasiwasi wako unatoka wapi? Je hao wachina waliojaa katika mitaa yetu waliruhusiwa na idara ya kazi au immigration?
Hao wachina waliopo wengi wao wanakuwepo nchini kwa sababu zifuatazo:-
- Wameajiriwa kwenye miradi mikubwa kama barabara na viwandani wanapooneka wanafanya shughuli ndogondogo ni
kama kazi ya ziada ‘part time job’
- Ni jamaa wa watumishi/wafanyakazi ‘dependants’ wenye ajira rasmi
- Wamefika nchini kwa ziara ya muda mfupi ‘visitors’ lakini wakaamua kubangaiza.
Kwa maana nyingine hakuna anayepewa permit na Serikali kwa ajili ya kuuza simu na chupi.



 
Mleta uzi huu ana lake, aidha ni mmoja wa wanaofaidika na mianya iliyopo sasa au ni mhamiaji haramu!
Miye nilichofanya ni kutoa angalizo tu kwa Mheshimiwa Rais kwa kuangalia zile nukta 7 zilizoorodhesha kwenye mada hivyo naona ingekuwa vyema ukaja na hoja za kupinga au kukubaliana kwani umepewa nafasi ya kujadili kwa manufaa ya Taifa.
 
Mleta uzi huu ana lake, aidha ni mmoja wa wanaofaidika na mianya iliyopo sasa au ni mhamiaji haramu!
Mleta uzi huko sawa imetoa tahadhari nzuri ameonyesha iwapo mamlaka ya utoaji vibali vya kazi kwa wageni utaachwa kwa Idara moja ndiyo itakuwa ni kutoa mwanya kwa wenye tamaa.
 
NASHAURI MLETA UZI NAYE ACHUNGUZWE KWA KINA INAWEZEKANA NAYE NI ECONOMIC MIGRANT. ASITUZINGUE WLA NINI. UKIAngalia hawa wageni wanapenda sana kupewa za UCEO. LAKINI WAZALISHAJI TUNABAKI SISI WENYEWE SASA MAANAKE SISI UTALAAM WA KWETU TUANCHOKOSA NA MANAGEMENT. JE KUNA SABABU YA KUHIRE MANAGEMENT HUU SI UNGWINI .KAZI TUFANYE SISI HALAFU ETI WAO WATOE AMRI HII MAANA YAKE SISI NI MBURURA HATUNA DIRA. HAYA NI MATUSI MAKUBWA
 
NASHAURI MLETA UZI NAYE ACHUNGUZWE KWA KINA INAWEZEKANA NAYE NI ECONOMIC MIGRANT. ASITUZINGUE WLA NINI. UKIAngalia hawa wageni wanapenda sana kupewa za UCEO. LAKINI WAZALISHAJI TUNABAKI SISI WENYEWE SASA MAANAKE SISI UTALAAM WA KWETU TUANCHOKOSA NA MANAGEMENT. JE KUNA SABABU YA KUHIRE MANAGEMENT HUU SI UNGWINI .KAZI TUFANYE SISI HALAFU ETI WAO WATOE AMRI HII MAANA YAKE SISI NI MBURURA HATUNA DIRA. HAYA NI MATUSI MAKUBWA
Soma vizuri mada yangu ilanaleta msisitizo juu ya kudhibiti ajira holela kwa wageni ndiyo nikaonyesha jinsi Tanzania inavyolalamikiwa na nchi nyingine za EAC kwa mfumo wetu uliopo sasa ina maana unafanya kazi vizuri ya kuwabana wageni wasiotakiwa ‘Prohibited immigrants' kama wangekuwa wanapata ajira kirahisi wasingelalamika
 
Sijaona tatizo na nia hiyo,wafanyakazi wengi wageni kwa sasa ni economic migrants na sio experts kama unavyojaribu kuhadharisha.angalia angola na mozambique .lazima tu centralise na hizo kazi zitangzwe nchini kwanza.huwezi niambia security manager,facilities manager na hr manager wa kampuni anatokea nje.lazma tuweke mipaka.uingereza wamefuta visa ya domestic worker kwa manufaa ya waingereza.hii sheria ni kwa manufaa ya waTanzania

Naunga mkono hii. Si sawa kuwa na wafanyakazi wageni hata kwa kazi ambazo wananchi wanziweza.

Binafsi nafanya kazi katika kampuni za kigeni, tatizo hilo ni kubwa. Sioni hata haja ya Rais kuangalia kama kuna umuhimu wa HR's kutoka nje!

Kuhusu mamlaka za kutoa vibali, nadhani hatuhitaji mabadiliko. Kama ni mabadiliko ya sheria, labda tuwe na sheria ya kulazimisha makampuni haya kutangaza kazi nchini kwanza, kwa maana ya Watanzania kuwa kipaumbele, kabla ya kuleta wageni. Wizara na idara hazina tatizo kwa maana ya utaratibu. Hata kama vibali vingetolewa na nani kama Idara imeamua kutokuwa na uadilifu na uzalendo (of which ndiyo tatizo kubwa sasa) bado vibali vitatolewa holela tu. Na naweza kusema mpaka sasa Tanzania ni kati ya nchi ambazo ni rahisi kuingia, hata kama unaenda kuuza kandambili Kariakoo! Hatuhitaji kufanya comparison na nchi yoyote, siyo EA au wapi?
 
Mkuu Mzalendo hii kitu iachekesha kweli juzi nilitembelea kampuni moja ya utalii hapa Arusha nikashangaa kumkuta Operation Manager mzungu asiyekuwa na sifa hata ya ucleark.uzoefu pekee ni aliwahi kuwa mwanajeshi la UK.Nikashangaa zaidi kukuta Workshop Manager Mkenya Mzungu sifa pekee kupiga magari rangi,Kama hiyo haitoshi Director of Finance Mzimbabwe CPA holder analipwa u$ 10,000/= per month ?.Fikiria CPA walivyojazana mitaani.Nikaangalia upande wa porini maana wana ofisi mjini Arusha na ofisi nyingine zipo Serengeti huko wamejazana wasouth Afrika wasiokuwa na sifa hata kidogo lakini wanatafuna mishahara ya kufa mtu nikajisemea Tanzania inahitaji kiongozi makini na mkali kidogo kuondokana na huu upuuzi.

Sijaona tatizo na nia hiyo,wafanyakazi wengi wageni kwa sasa ni economic migrants na sio experts kama unavyojaribu kuhadharisha.angalia angola na mozambique .lazima tu centralise na hizo kazi zitangzwe nchini kwanza.huwezi niambia security manager,facilities manager na hr manager wa kampuni anatokea nje.lazma tuweke mipaka.uingereza wamefuta visa ya domestic worker kwa manufaa ya waingereza.hii sheria ni kwa manufaa ya waTanzania
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hii. Si sawa kuwa na wafanyakazi wageni hata kwa kazi ambazo wananchi wanziweza.

Binafsi nafanya kazi katika kampuni za kigeni, tatizo hilo ni kubwa. Sioni hata haja ya Rais kuangalia kama kuna umuhimu wa HR's kutoka nje!

Kuhusu mamlaka za kutoa vibali, nadhani hatuhitaji mabadiliko. Kama ni mabadiliko ya sheria, labda tuwe na sheria ya kulazimisha makampuni haya kutangaza kazi nchini kwanza, kwa maana ya Watanzania kuwa kipaumbele, kabla ya kuleta wageni. Wizara na idara hazina tatizo kwa maana ya utaratibu. Hata kama vibali vingetolewa na nani kama Idara imeamua kutokuwa na uadilifu na uzalendo (of which ndiyo tatizo kubwa sasa) bado vibali vitatolewa holela tu. Na naweza kusema mpaka sasa Tanzania ni kati ya nchi ambazo ni rahisi kuingia, hata kama unaenda kuuza kandambili Kariakoo! Hatuhitaji kufanya comparison na nchi yoyote, siyo EA au wapi?
Naungana na wewe ni suala udhibiti tu na wala si kubadilisha sheria
 
Sawa sheria inatoa nafasi kwa muwekezaji kuleta wageni watano zaidi wanaowataka, ikumbukwe hapa suala la vyeti halitaangaliwa pia kwenye sekta maalumu kama vile mafuta, gesi, na migodi mikubwa mwekezaji anaruhisiwa kuomba zaidi ya idadi hiyo, hii mimi sioni kama kuna ubaya.

Mkuu kweli huoni tatizo kwa hawa wageni kuja kufanya kazi ambazo watanzania wengi wapo mtaani wanaumia na njaa wakati wangeweza kuwa walinzi? tuna wastaafu wa Polisi, JWTZ, Magereza, JKT, Vijana waliokosa shule kuendelea na masomo kweli hawafai kufanya kazi ambazo ni unskilled ambazo wageni wengi wanazifanya hapa Tz? Kweli wewe unaona sawa tu wageni wanaletwa kufanya kazi ya kutupokea mahotelini wakati vijana wa kitanzania waliosomea mambo ya Hoteli wakiwa wamekosa kazi na kuishia kuuza bia kwenye viji Bar vya uchochoroni? ..Ndugu yangu kwenye suala la uzalendo hata kwenye biblia wameandika.."walio ndugu wapewe kwanza"
 
Naunga mkono hii. Si sawa kuwa na wafanyakazi wageni hata kwa kazi ambazo wananchi wanziweza.

Binafsi nafanya kazi katika kampuni za kigeni, tatizo hilo ni kubwa. Sioni hata haja ya Rais kuangalia kama kuna umuhimu wa HR's kutoka nje!

Kuhusu mamlaka za kutoa vibali, nadhani hatuhitaji mabadiliko. Kama ni mabadiliko ya sheria, labda tuwe na sheria ya kulazimisha makampuni haya kutangaza kazi nchini kwanza, kwa maana ya Watanzania kuwa kipaumbele, kabla ya kuleta wageni. Wizara na idara hazina tatizo kwa maana ya utaratibu. Hata kama vibali vingetolewa na nani kama Idara imeamua kutokuwa na uadilifu na uzalendo (of which ndiyo tatizo kubwa sasa) bado vibali vitatolewa holela tu. Na naweza kusema mpaka sasa Tanzania ni kati ya nchi ambazo ni rahisi kuingia, hata kama unaenda kuuza kandambili Kariakoo! Hatuhitaji kufanya comparison na nchi yoyote, siyo EA au wapi?

Kiukweli sie watanzania ni wazembe mwisho wa Reli, sheria nzuri tunazo lakini ufuatiliaji ni sifuri, unakuta mtu mkataba wake umeisha lakini inatungwa nafasi ya Kazi kama ..."Senior Company Analysit" na kuwekewa CV za ajabu ajabu ili tu kusiwe na mtanzania atakayefaulu Interview hiyo na mwisho wa siku wanaleta mgeni simple guy ambaye ni HR wa kubumbabumba tu, wengine wakishakwama Dar es salaam basi wanachokifanya ni very simple ..wanakuja wanashukia Nairobi or Kampala then wana cross boarder kama Visitors siku zinaendelea na hakuna hata wakujiuliza kwanini huyu kila anapokuja Tanzania anashukia Nairobi/Kampala na si Dar es salaam? ni kwamba hakuna anayejali na hapo ndio kidogo namwaminia Mkapa pale aliposema watanzania ni wavivu wa kufikiri
 
hao wachina waliopo wengi wao wanakuwepo nchini kwa sababu zifuatazo:-
- wameajiriwa kwenye miradi mikubwa kama barabara na viwandani wanapooneka wanafanya shughuli ndogondogo ni
kama kazi ya ziada ‘part time job'
- ni jamaa wa watumishi/wafanyakazi ‘dependants' wenye ajira rasmi
- wamefika nchini kwa ziara ya muda mfupi ‘visitors' lakini wakaamua kubangaiza.
kwa maana nyingine hakuna anayepewa permit na serikali kwa ajili ya kuuza simu na chupi.




katika yote uliyoyataja ni wajibu wa idara ya uuhamiaji?
 
Kiukweli sie watanzania ni wazembe mwisho wa Reli, sheria nzuri tunazo lakini ufuatiliaji ni sifuri, unakuta mtu mkataba wake umeisha lakini inatungwa nafasi ya Kazi kama ..."Senior Company Analysit" na kuwekewa CV za ajabu ajabu ili tu kusiwe na mtanzania atakayefaulu Interview hiyo na mwisho wa siku wanaleta mgeni simple guy ambaye ni HR wa kubumbabumba tu, wengine wakishakwama Dar es salaam basi wanachokifanya ni very simple ..wanakuja wanashukia Nairobi or Kampala then wana cross boarder kama Visitors siku zinaendelea na hakuna hata wakujiuliza kwanini huyu kila anapokuja Tanzania anashukia Nairobi/Kampala na si Dar es salaam? ni kwamba hakuna anayejali na hapo ndio kidogo namwaminia Mkapa pale aliposema watanzania ni wavivu wa kufikiri

Tatizo kubwa hapa kwetu, na hasa kwa viongozi wetu ni kule kufikiria kuwa mtu mweupe ni bora kuliko mweusi. Kwamba ukishakuwa Mzungu basi una hela tuuu na una akili tuuu....I wish this stupidity would get corrected!
 
Ni muhimu sana kwa sheria kubainisha nafasi zinazotakiwa kushikwa na wageni inakuwaje organization inakuwa na directors na deputy wote wanakuwa kutoka nje ya nchi, chief accountants na wengineo wanakuwa wageni, Hr anakuwa mgeni yaani watz wanakuwa katika position za chini tu hii si nzuri kwa usalama wa nchi na hata kwa mstakabali wa vihana tunaowasomesha.
 
Back
Top Bottom