Rais Kikwete ana ubinadam

Rais Kikwete ana ubinadam

aliye kua mkuu wa mkoa kagera na mwanza enzi za mkapa
 
sifa zake kuu ni kupenda kusafiri, kufariji wafiwa, kuamini habari nyepesi nyepesi, kutoa ahadi kila kukicha. Bila shaka anafit sana kuwa mkuu wa mkoa na kada wa sisimu
 
Nimesema ana ubinadam baada ya kugundua kua ubaya tunaodhania anao si wake binafsi ila ni wakupotoshwa na washauri wake ambao yeye huwaamini sana kama ilivyotokea hapo majuz kuhusu muswaada wa marekebisho ya mabadiliko ya katiba.
 
Nasema rais wetu ana ubinadam kwa sababu nimegundua mara nyingi linapokuja suala linalogusa maslahi ya wananchi waliowengi hua yuko tayari kusikiliza hata kama wabunge wa chama chake hawataki.Hivyo nachukua nafasi hii kuwalaani MPs wote wa sisiem.
Ana Ubinadamu?? mwambie J.K. akamtoe kwanza kifungoni Babu Seya wa watu ndipo tuongelee ubinadamu wake!!
 
Hiv hata nafsi haikusuti unaposema wanawatetea maskin?Lini wabunge wa chama tawala waliwatetea wananchi maskin kwa dhati mbali na unafiki na uigizaji?
 
Mkuu kama viongozi wa kisiasa wote wangekuwa kama jk taifa hili lingepiga hatua kubwa zaidi ya hapa tulipo,
Jk amekuwa kimbilio la kila mtu na kila kundi kwa kweli mfanowe hakuna,
hata mimi kama gogo la shamba pamoja na kuwa chadema damu,nimemkubali Kikwete kwamba ni Rais wa watanzania wote na mwenye kujali maslahi ya taifa na laiti wangekuwapo viongozi wawili ndani ya ccm kama kikwete nchi hii igekuwa mbali kwa kila kitu au ingetokea wasaidizi wake wangekuwa na dhamira njema kama yeye tanzania ingekuwa nchi ya mfano Afrika, Mungu ampe umre mrefu,nina imani hata kama kitatawala chama kingine mchango wake utaitajika sana
 
Simiyu hata kama unaipenda ccm kuliko unavojipenda mwenyewe jitahidi kukiri ukweli kwamba hii nchi ipo hapa tulipo kwa sababu ya ccm.
Wizi,rushwa,na udhaifu uliotamalaki ndani ya chama umeingia serikalini,ahadi nyingi za viongoz hazitekelezeki kwa sababu fedha za umma zinaibwa kiholela huku mwenyekt wa chama na rais wa nchi anacheka.
Ccm ni wakali mno kuona wapinzani wakifanya siasa kwa sababu wanajua hakuna cha maana walichokifanya,miaka hamsini baada ya uhuru tunajivunia mipango mikakati,mtandao wa barabara,shule za kata ambazo hakuna fedha toka serikalini zinazosaidia ujenzi zaid ya nguvu za wananchi.
Simiyu na wenzako jaribu kutumia akili zenu badala ya kuweka itikadi mbele mnachefua!
 
Hiv hata nafsi haikusuti unaposema wanawatetea maskin?Lini wabunge wa chama tawala waliwatetea wananchi maskin kwa dhati mbali na unafiki na uigizaji?
wewe ni mzandiki, mambo mangapi kafanya mazuri? mbona chadema hivisasa wamemzulu kijana yatima hapa Sanawali kiwanja chake? au huu ndio ubinadam?
 
Hiv hata nafsi haikusuti unaposema wanawatetea maskin?Lini wabunge wa chama tawala waliwatetea wananchi maskin kwa dhati mbali na unafiki na uigizaji?
kweli wewe ni kiplate umejazwa ujinga na wewe unalipuka nayo kama ulivyomeza. akili ndogo kazi sana.
 
Back
Top Bottom