Rais Kikwete akubali utendaji wa CHADEMA Manispaa ya Moshi

Rais Kikwete akubali utendaji wa CHADEMA Manispaa ya Moshi

Hana jinsi lazima aseme ukweli.. Ila kuna mijitu hapa itaona wivu tuuu na kuponda hata mambo ya msingi.
 
Hizo pongezi za JK ni dhihaka kwa chadema. Hamjui tu.
 
Hana jinsi lazima aseme ukweli.. Ila kuna mijitu hapa itaona wivu tuuu na kuponda hata mambo ya msingi.
Mkuu, soma vizuri. Ni kwamba JK kapongeza manispaa ya Moshi kwa kutekeleza Ilani ya CCM na si ya CHADEMA.
 
Amewapaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kumbukeni kauli yake juzi kuwa viongozi bora lazima watoke ccm
 
Huyo meya amekalia kuti kavu kwenye udiwani wake..lazima ang'oke mwaka huu
 
Moshi wako juu ya DHIHAKA ya Maisha DUNI kwa kila MTANZANIA ... Endelezeni dhihaka kwa wasiojitambua hadi wapate akili ya kuwaengua CCM ... Kudos JK ..
Hizo pongezi za JK ni dhihaka kwa chadema. Hamjui tu.
 
E86A0600.JPG E86A0456.JPG

Rais Jakaya Kikwete amempongeza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael (Chadema) ka utekelezaji mzuri wa miradi mbalimbali ya maenedeleo huku akiahidi kuendelea kutoa pesa kwa halmashauri hiyo kwa ajili ya kutekleza miradi mingine.

Kikwete alitoa kauli hiyo wakati wa shereheya uzinduzi wa jengo la kitega uchumi la Mfuko wa Hifadhi za Jamii NSSF mkoai Kilimanjaro.
 
Angalia wana usalama wanavyomtazama kwa hasira, wanajuta kusahau ile poda ya mwakyembe.
attachment.php
 
Watajivunga wee mwisho watazikubali kazi za CHADEMA.
 
Hapo hakuna cha unafiki bali ni uhalisia
Kwamba maCCM sehemu nyingine wameshindwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, ila CDM imeweza kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM

Kwamba ilani ya uchaguzi ya CCM ni nzuri na inatekelezeka. CCM hawawezi kuitekeleza, mpaka wapate usaidizi wa CDM.

JK saa nyingine anakuwa na akili kuliko za wachina waliompa PhD ya kilimo.
 
Back
Top Bottom