Rais Kikwete aenda Uswisi

Manyerere Jackton

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
2,438
Reaction score
4,461
Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.

===================


Photo by Freddy Maro
 
Baada ya kushindwa kumuqeka mdogo wake Magogoni ameona ni bora akafiche mwenyewe maana hakutegemea kama Magufuli angekuwa Rais.
 
Ndio njia ya kukwapua wanajiandikia mi posho ya kufa mtu!! huku Makufuli akichekea na miwani yake!!
 
Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za dodoma. Sidhani kama magufuli au huyo wa ukawa ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.

Yawezekana kaendea kuangalia salio kama linatosha au lah kabla hajakabidhi hapo Oct.2015! Na namna gani pesa zitakuwa salama kama UKAWA watakama Nchi.
 
Mtuache kabisa tuko Grand Marche -Geneva tunapigwa upepo mwanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ