Rais Kenyatta aruhusu Watanzania kuanza kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na Work Permit wala Business visa

Wewe ndiye unayetakiwa ufikiri nje ya box.Ni nani huyo atakayeenda nchi ya ugeni kuwekeza bila kufanya uchunguzi wa kina.labla kama anaenda kuuza utupu.japo ata na wenyewe lazima ajiridhishe mambo mengi.Na pia lazima ujue kua hayo mapungufu yote ni vitu vinavyorekebishika ni kiasi cha mamlaka husika kuweka mambo sawa.inawezekana uko nyuma hayakufanyika kwasababu mamlaka haikua tayari ila kama mamlaka ya sasa inataka kuweka mambo sawa sidhani kama hayo mapungufu hayatajadiliwa kwa kina.
 
Wee jamaa! 🀣 🀣 🀣
 
Waken ni wabaguzi na wanawadharau watanzania.
Hii ya working permit itakuwa ni sawa kama India ingekuwa jirani zetu. Halafu waziri mkuu wa India akasema Watanzania mnaruhusiwa kuja kufanya biashara na kazi India bila vibali. Kama Tanzania nayo wakifanya the same.
Hii itakuwa one way traffic...Kenya ndio watanufaika na Hii!
Mahoteli yote ya kitalii na foreign companies zitakuwa zimejaa wakenya!!
Hii ya working permit imekuwa inapigwa dana dana kwa upande wa Tanzania kwa muda mrefu! Kwa sababu wanajua hadhara zake!!
 
Kipindi cha Magufuli mlikuwa mnasema watanzania wanahamishia biashara zao Kenya.
Sasa mbona kwenye idadi ya walio na biashara Kenya ni ndogo sana!
 

yeah sure!
 
Kenya ni rafiki zetu wa damu wa enzi na enzi.Tuondoe mambo za passport sababu inapunguza muingiliano maana kuipata tu hio paspot ni shida
 
Kwa jinsi wakenya walivyo wabaguzi,waTz wataweza kupenya kweli huko Kenya?Au Kenyatta analijua hilo ndio maana amecheza karata yake,ili na Mama Samiah aingie kichwakichwa kuruhusu wakenya huku?!!!
Usiseme 'WATAWEZA?'... Sema 'NITAWEZA?'. Kapambane na maisha, hakuna kizuri kitakufwata bila kuchukua some risks. Na ukianguka mara tisa, simama mara ya kumi!
 
nitajitahidi kufanya utafiti juu ya thika highway mkuu. thanks
 
Waken ni wabaguzi na wanawadharau watanzania.
Hii ya working permit itakuwa ni sawa kama India ingekuwa jirani zetu. Halafu waziri mkuu wa India akasema Watanzania mnaruhusiwa kuja kufanya biashara na kazi India bila vibali.
Mfano uliotoa ni Zero huna upeo wqa uelewa kabisa ni zero

Sisi hapa tuna wahindi kibao raia wa Tanzania ndio wanachukua dengu ,ufuta ,korosho zetu nk kwenda kuuza India wakifanya hivyo tena poa sana sababu wahindi watanzania wenzetu wataenda fungua miofisi kule badala ya kutumia middlemen walioko kule waruhusu hata leo uone tutakavyofaidi hadi soko lao la mazao yetu na madini .Jaipur kuna mtaa mzima kazi yao kutengeneza vito vya Tanzanite ambayo hupelekewa na wahindi wa kule sisi tutaenda wenyewe na kuweka Duka JAIPUR
 
Nilichogundua wapingaji wengi ni vibarua wanaofanya kazi serikalini na wanasiasa waponea siasa!!! ambao hawajui lolote ya kilichoko mitaani .NA TU VYETI TWAO WAMEKAA OFISINI na kujiita wataalamu hovyo kabisa.Wapige chini hata leo uone watakavyokonda siku mbili hawajui hata waanzie wapi maisha mtaani na waishie wapi

Sisi tunajua Kenyatta alichofanya kina maana kubwa kwa wachacharikaji wa mitaani lakini kwa vibarua wa serikali na vibarua wala kutegemea siasa na kupifga domo bungeni uamuzi huu wanauona siyo!!!

Nyie vibarua wategemea mwisho wamwezi shut up achieni watu wa mitaani wa hali ya chini kwao linaeleweka
 
Hawa ndugu zenyu wanauza mitumba pia?
Wenye village supermarket pia nao utawaambiaje, watoke KE?
Na wako wengi tu, so acha kupotosha, kama huwezi ni wewe, wenzio wana hela ya kuja kuwekeza KE.

 
Sisi kule tunampaka washona viraka vibarazani kawaida tu wakiuza nyanya sisi tutauza vitunguu
Mwambie huyo. Kule nilipozaliwa, hadi wa leo wabongo wako tu sana, wamezalia huku na wabongo wenzao, watoto wamekuwa wakubwa huku nikiwaona na sioni shida yoyote wanayopitia. Sana sana wa hapo mtaani ni fundi cherahani wabobezi sana, wanashonea wamama na dada nguo nzuri sana.
 
Mama angalie mtego huu ili kulinda raia wake maana Kenya hawana cha kupoteza kwenye fursa ya kila kitu hadi omba omba barabarani.
Hapo kwa omba omba, uongo mtupu. Fanya research, utajicheka ukigundua ukweli.
 
Who's not 'money hungry' in this world. Even Bill Gates & Elon Musk, still work, despite of them being super wealthier!
Ukija Tz ka mfanyabiashara, kodi iko juu, why, coz you're hungry for that extra shilling. So mambo ya pesa weka kando kabisa, hakuna asiyependa.
Hiyo issue ya roho mbaya ya wa KE, siijui, wewe kama ulitendwa na mkenya, mezea, ndio hali ya maisha hiyo,sana sana kwa hizi nchi zetu za Afrika. Kabla utoboe, utatobolewa kwanza... πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kwani makubaliano ni kitanzi! ya kuwa ukisha jitia kitanzi unakufa tuu?
Tukion kuna mambo si sawa si tunarekebisha !
Wacheni woga Watanzania .
Ruhusu wakenya waje TZ wfanye kazi bila Working Permit na waanzishe biashara zao hapa.
Mimi namiliki shule, Walimu kutoka kenya ni wazuri sana Mashuleni, lakini shida kuwalipia Resiident permit kila mwaka.
Walimu wa kwetu Kiengereza hawajui, na wengi wababaishaji. Sijui inakuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…