imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Wamakonde nao Kenya waomba watambuliwe kama raia wa Kenya
Kwahiyo hiyo Ngoma ndio Sindimbaš Huu Mwambao wa Afrika ya Mashariki umeingiliana sana kama sikosei Wamakonde walisambaa wakati wa Dola ya Kilwa ilipokuwa na nguvu hadi hadi ikaitishia Mogadishu huu muingiliano ni wa enzi na enzi na tuuenzi kuliko kubaguana.