VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Siku za nyuma walirushiana maneno makali, na hakuna alietegemea kicheko cha namna hiyo, ila walionyesha kuwa siasa inaishia ofisini, na tofauti hazimaanishi watu ni maadui.
View attachment 3332874
Siku za nyuma walirushiana maneno makali, na hakuna alietegemea kicheko cha namna hiyo, ila walionyesha kuwa siasa inaishia ofisini, na tofauti hazimaanishi watu ni maadui.
Lakini wanasemaga siasa ni faida. Hakuna rafiki au adui wa kudumuAfrica unafiki hautaisha haijapita hata miezi sita tangu wanajeshi wake wauwawe na m23/RDF leo wanapiga story like nothing happened