Towashi wa 2
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 341
- 240
Tunataka lumumba na nyie washabiki wao mtwambie huyu rais wenu bulldozer kafanya jambo gani laana la kujivunia hadi saizi? Fine Jk was laize afea ingawa tulikua tunalalamikia hiyo na pia ughali wa maisha huyu kashindwa kuziba hiyo pancha kwenye uchumi ndo kaharibu jumla vitu viko bei juu mbaya zaidi pesa haipatikani unlike Jk,sisiem wote ni maboga tu