Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

Rais Joseph Kabila wa DRC ni Mnyarwanda

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,462
Ipo stunning report Facebook imetumwa na Comred Mbwana Cameroo Allyamtu anasema;

Jina lake halisi ni Hyporite[Hypolite] Kanambe na ni Mtusi wa Rwanda kwa baba na mama pia ni mpwa kabisa wa Waziri wa ulinzi wa Rwanda James Kabarebe.

Baba yake ni nani?

Baba yake Joseph Kabila Adnan Christopher Kanambe alikuwa swahiba mkubwa wa Laurent Desire Kabila. Hata kwenye vita mbalimbali walishirikiana pamoja. Alipofariki Adnan Kanambe ndio Desire Kabila akamuoa mama take Hypolite Kanambe.
Mazingira ya kifo cha Adnan C. Kanambe yamekuwa ya utata kidogo mpaka Leo .Duru za uchambuzi zimedai kuwa Mzee Kabila anahusika lakini bado hazijakuwa wazi kabisa.
Ni kwli alikuwa anashurikiana na Kabila katika masusla ya vitaya msituni huko Congo ijspokuwa Adnan Kanambe alikuwa Mnyarwanda. Ngome yao ilikuwa karibu na Lake Tanganyika.
Makubsliano yao ilikuwa ni kumuondoa madarakani Mobutu kwanza halafu baadaye kuing'oa serikali ya Habyarimana.
Wanasema kwamba Adnan Kanambe yaani baba yake Joseph alikuwa jasiri sana kwenye medani za vita lakini wakati mwingine tactics zake nilikuwa zinawacost sana wanajeshi wao kutokana na kipigo cha jeshi la Mobutu.
Leo naishia hapa kwa kukaribisha maswali.
Ndimi Comred Mbwana Allyamtu.
Kwa Tanzania
+255 679 555 526
+255 765 502 057
Kwa Rwanda
+ 250 073 315 3930
+250 788 214 234
Kwa DRC
+ 243 977 860 824

mbwanaallyamtu990@gmail.com
 
Ipo stunning report Facebook imetumwa na Comred Mbwana ameroo Allyamtu anasema;

Jina lake halisi ni Hyporite[Hypolite] Kanambe na ni mtusi. wa Rwanda kwa baba NA mama pia ni mpwa kabisa wa Waziri wa ulinzi wa Rwanda James Ksbarebe.

Baba yake ni nani?

Baba take Joseph Kabila Adnan Christopher Kanambe alikuwa swahiba mkubwa wa Laurent Desire Kabila. Hats kwenye vita mbalimbali walishirikiana pamoja. Alipofariki ADNAN Kanambe ndio Desire Kabila akamuoa mama take Hypolite Kanambe.
Mazingira ya kifo cha ADNAN C. Kanambe yamekuwa ya utata kidogo mpaka Leo .Duru za uchambuzi zimedai kuwa Mzee Kabila anahusika lakini bado hazijakuwa waxi kabisa.
Ni kwli alikuwa anashurikiana NA Kabila katika masusla ya vitaya msituni huko Congo ijspokuwa AADNAN Kanambe alikuwa Mnyarwanda. Ngome yao ilikuwa katibu NA Lake Tanganyika.
Makubsliano yao ilikuwa ni kumuondoa madarakani Mobutu kwanza halafu baadaye kuing'oa serikali ya Habyarimana.
Wanasema kwamba ADNAN Kanambe yaani baba take Joseph alikuwa jasiri sana kwenye medani za vita lakini wakati mwingine tactics zake nilikuwa zinawacost sana wanajeshi WAZO kutokana NA kipigo cha jeshi LA Mobutu.
Leo naishia hapa kwa kukaribisha maswali.
Ndimi Comred Mbwana Allyamtu.
Kwa Tanzania
+255 679 555 526
+255 765 502 057
Kwa Rwanda
+ 250 073 315 3930
+250 788 214 234
Kwa DRC
+ 243 977 860 824

mbwanaallyamtu990@gmail.com
Mkubwa take care,they are not sleeping and you their boasts well
 
Ipo stunning report Facebook imetumwa na Comred Mbwana ameroo Allyamtu anasema;

Jina lake halisi ni Hyporite[Hypolite] Kanambe na ni mtusi. wa Rwanda kwa baba NA mama pia ni mpwa kabisa wa Waziri wa ulinzi wa Rwanda James Ksbarebe.

Baba yake ni nani?

Baba take Joseph Kabila Adnan Christopher Kanambe alikuwa swahiba mkubwa wa Laurent Desire Kabila. Hats kwenye vita mbalimbali walishirikiana pamoja. Alipofariki ADNAN Kanambe ndio Desire Kabila akamuoa mama take Hypolite Kanambe.
Mazingira ya kifo cha ADNAN C. Kanambe yamekuwa ya utata kidogo mpaka Leo .Duru za uchambuzi zimedai kuwa Mzee Kabila anahusika lakini bado hazijakuwa waxi kabisa.
Ni kwli alikuwa anashurikiana NA Kabila katika masusla ya vitaya msituni huko Congo ijspokuwa AADNAN Kanambe alikuwa Mnyarwanda. Ngome yao ilikuwa katibu NA Lake Tanganyika.
Makubsliano yao ilikuwa ni kumuondoa madarakani Mobutu kwanza halafu baadaye kuing'oa serikali ya Habyarimana.
Wanasema kwamba ADNAN Kanambe yaani baba take Joseph alikuwa jasiri sana kwenye medani za vita lakini wakati mwingine tactics zake nilikuwa zinawacost sana wanajeshi WAZO kutokana NA kipigo cha jeshi LA Mobutu.
Leo naishia hapa kwa kukaribisha maswali.
Ndimi Comred Mbwana Allyamtu.
Kwa Tanzania
+255 679 555 526
+255 765 502 057
Kwa Rwanda
+ 250 073 315 3930
+250 788 214 234
Kwa DRC
+ 243 977 860 824

mbwanaallyamtu990@gmail.com

Unajiamini sana wewe. Inaonekana hujawahi kukumbwa na dhoruba au kimbunga. Ok hata hivyo na wewe ni jasiri sana.
 
Kuna vinasaba vya ukweli naanza kuvitambua!
I'm still connecting dots...
 
Unajiamini sana wewe. Inaonekana hujawahi kukumbwa na dhoruba au kimbunga. Ok hata hivyo na wewe ni jasiri sana.
Wewe ni mpuuzi mbona hii habari imeandikwa sana kwenye makala za Mwanahalisi au raia mwema kama sikosei.

Hakuna jipya au lisilojurikana, hata Wacongo wote wanajuwa kwamba Joseph Kabila si Mcongoman na si mtoto wa Kabila bali alimuadopt na ndio maana Kabila hajui Kilingara na hata last election ilibidi afanye alliance na mtoto wa Mobutu Nzanga Mobutu ili kupata kura za walingara.

Msijazane hofu isiyokuwepo, m:nashangaa ya Kabila badala ya kushangaa serikali yako ilikuwa na kina Mungai, au hujui kama Mungai ni wa Kenya?
 
Hakuna shida. Nimetaadhalisha tu. Kwani nimekosea ?. Kama habari hii lishaandikwa huko. Leo unaleta huku kufanya nini. Janja ya watu wengi pamoja na Wakongo ni kumng'oa Joseph Madarakani kwa njia yoyote. kwa hiyo hizi habari habari ni za kujenga mazingira watu wawe na chuki naye na atimaye wafanye wanachotaka. Ni kweli kabisa Rais Kabira hafanyi vizuri anapaswa kuachia madaraka, lakini si kwa kusushiwa nk. Si unajua kuna wakati hata Baba wa Taifa waliwahi kusema ni ...................
 
Hakuna shida. Nimetaadhalisha tu. Kwani nimekosea ?. Kama habari hii lishaandikwa huko. Leo unaleta huku kufanya nini. Janja ya watu wengi pamoja na Wakongo ni kumng'oa Joseph Madarakani kwa njia yoyote. kwa hiyo hizi habari habari ni za kujenga mazingira watu wawe na chuki naye na atimaye wafanye wanachotaka. Ni kweli kabisa Rais Kabira hafanyi vizuri anapaswa kuachia madaraka, lakini si kwa kusushiwa nk. Si unajua kuna wakati hata Baba wa Taifa waliwahi kusema ni ...................
Narudia tena wewe ni mpuuzi, Joseph Kabila ametawala Congo kwa miaka 15 na kikatiba muda wa Kabila kutawala Congo umeisha rasmi tarehe 20/12/2016.

Unataka Kabila awe Rais wa maisha? Au unadhani Congo ni nchi ya kisultani?
 
Huyu Comrade Mbwana kama anasoma hii ni bora angejibu maswali hapa JF.?
Swali la kwanza ni kama haya mambo aliyoandika ni kweli na kama amewahi kuwekwa kwenye mental institution.
Hii yote nauliza kwa kutaka kuhakiki hizi habari.
Swali lako la kwanza jibu lake ni ndio hizo habari ni za kweli na nashangaa huenda ni wewe tu na watu wachache wasiolijuwa hili.

Fuatilia vizuri historia ya askari mamluki Banyamulenge aliowatumia Kabila Sr kumng'oa Mobutu ni watu wa kutoka wapi na ahadi yao ilikuwa wapewe nini after acomplish mission.

Nadhani ningeona umetumia akili kubwa kama ungejikita kujuwa Marekani wanaslahi gani Congo na ni nani kibaraka wa CIA.
 
Narudia tena wewe ni mpuuzi, Joseph Kabila ametawala Congo kwa miaka 15 na kikatiba muda wa Kabila kutawala Congo umeisha rasmi tarehe 20/12/2016.

Unataka Kabila awe Rais wa maisha? Au unadhani Congo ni nchi ya kisultani?

Uwe unasoma kwanza sio kukurupuka kama upo msituni.

Nimesema: Ni kweli kabisa Rais Kabira hafanyi vizuri anapaswa kuachia madaraka, lakini si kwa kusushiwa nk.
 
I'M STILL PUZZLED AND COMPLETE FAILED TO CONNECT THE DOTS PERHAPS THIS IS NOT MY FIELD.

WHAT'S THE IMPORTANCE/RELEVANCE OF THIS NEWS/STORY TO US?
 
Back
Top Bottom