Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,797
- 28,461
Kweli waliosema akili ni Mali hawakukosea,hata angekuwepo raisi anayefanana na dhahabu kwa kipindi kile angeshindwa maana katika kipindi hicho kulifanyika mabadiliko ya kiuchumi.
Nchi zilizokuwa zinafuta mlengo wa ujamaa ziliwekewa sanction na IMF&WB-iliwalazimu kuingia katika Sera za ubepari-ubinafsishaji.
Nchi zilizokuwa zinafuta mlengo wa ujamaa ziliwekewa sanction na IMF&WB-iliwalazimu kuingia katika Sera za ubepari-ubinafsishaji.