Rais JMK na Watanzania

Rais JMK na Watanzania

TANURU

Senior Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
162
Reaction score
9
Wakuu,

Naamini moja ya njia nzuri kwa Rais aliyeko madarakani katika kuwasiliana na watu wake ni kuwahutubia kila mwezi (ikiwezekana hata kila wiki) kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na nini Serikali inafanya katika kuwaletea maendeleo watu wake na taifa kwa ujumla. Hapa kwetu naona huu utaratibu kama vile "unakufa" taratibu. Kulikoni Wakuu?
 
Back
Top Bottom