Wakuu,
Naamini moja ya njia nzuri kwa Rais aliyeko madarakani katika kuwasiliana na watu wake ni kuwahutubia kila mwezi (ikiwezekana hata kila wiki) kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na nini Serikali inafanya katika kuwaletea maendeleo watu wake na taifa kwa ujumla. Hapa kwetu naona huu utaratibu kama vile "unakufa" taratibu. Kulikoni Wakuu?
Naamini moja ya njia nzuri kwa Rais aliyeko madarakani katika kuwasiliana na watu wake ni kuwahutubia kila mwezi (ikiwezekana hata kila wiki) kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na nini Serikali inafanya katika kuwaletea maendeleo watu wake na taifa kwa ujumla. Hapa kwetu naona huu utaratibu kama vile "unakufa" taratibu. Kulikoni Wakuu?