Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Rais wa Jamhuri y'a Muungano wa Tanzania (mstahafu) Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ombwe lako halizibiki !
Umenifunza yafuatayo.
1.Demokrasia
2.Kunyamaza
3.Busara
4.Upole
5.Hoja kwa hoja sio risasi
6.Upendo
7.Furaha kwa wote (Ikulu mpaka Msambiazi Korogwe au chome mwanga mpaka ilolangulu Tabora)
Mhe. JK naamini kwa dhati y'a moyo wangu ulituletea haya ili nyota yako iendelee King'aa maana ulijua udhaifu wetu wa kimataifa hatuwezi kupenya ili nyota yako iendelee kuwaka
Hakika umefanikiwa ila ulituachia upendo sio hofu na chuki !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifunza yafuatayo.
1.Demokrasia
2.Kunyamaza
3.Busara
4.Upole
5.Hoja kwa hoja sio risasi
6.Upendo
7.Furaha kwa wote (Ikulu mpaka Msambiazi Korogwe au chome mwanga mpaka ilolangulu Tabora)
Mhe. JK naamini kwa dhati y'a moyo wangu ulituletea haya ili nyota yako iendelee King'aa maana ulijua udhaifu wetu wa kimataifa hatuwezi kupenya ili nyota yako iendelee kuwaka
Hakika umefanikiwa ila ulituachia upendo sio hofu na chuki !!
Sent using Jamii Forums mobile app