beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Hussein Mwinyi amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa mitano, kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu Namba 61(1) cha Katiba ya Zanzibar
Salama Mbarouk Khatib ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Rashid Hadid Rashid atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja
Dkt. Mwinyi amemteua Ayoub Mohamed Mahmoud kwa Kaskazini Unguja, Idrisa Kitwana Mustafa Mkoa wa Mjini/Magharibi na Mattar Zahor Masoud ameteuliwa kwa upande wa Kusini Pemba
Salama Mbarouk Khatib ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Rashid Hadid Rashid atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja
Dkt. Mwinyi amemteua Ayoub Mohamed Mahmoud kwa Kaskazini Unguja, Idrisa Kitwana Mustafa Mkoa wa Mjini/Magharibi na Mattar Zahor Masoud ameteuliwa kwa upande wa Kusini Pemba