Pia hata watu kukatwa mapanga,kuwekwa sero na makesi ya uchaguzi, tutasevu hela ya kuendeshe hizo chaguzi, watu hawatapoteza muda kwenda kwenye kampeni, tutawapunguzia watoto wetu kusikia matusi na nkNakuunga mkono mleta hoja,wanatupotezea muda wetu tu
Matumizi mabaya ya hela za mlipa kodi
mechi ya nini na matokeo unayo? zifutwe kabisa.
Siyo zifutwe hadi 2020 mazee. Binafsi napendekeza zifutwe hadi 2025, maana hapo 2020 naona giza tupu. Mkulu amedhamiria kushinda kwa 1000℅ urais, wabunge na madiwani.
Mnakumbuka Makala ameomba radhi??
Hakika itapendeza for sure nasapot huu mchongo utapunguza mengi
Nakuunga mkono mleta hoja,wanatupotezea muda wetu tu
Naunga mkono halmashuri zikae zipendekeze mwakilishi wa muda hadi mwKa 2020.
Stress..!zinaleta kuchanganyikiwa.!tushasamehe
Boss mlogolaje Naaam, Umenena.
Kwa hili la kuwaletea wananchi umaskini wanaelekea kufaulu.
Wakuu mnaonaje tuKiungana tukapiga kampeni ya kuomba kufutwa hizi chaguzi za katikati(marudio,kuziba nafasi)..Pia hata watu kukatwa mapanga,kuwekwa sero na makesi ya uchaguzi, tutasevu hela ya kuendeshe hizo chaguzi, watu hawatapoteza muda kwenda kwenye kampeni, tutawapunguzia watoto wetu kusikia matusi na nk
Wazo zuri sana. Tatizo mtukufu alishasema hajaribiwi. Tutafuatiliwa na Nissan nyeupe muda si mrefu.Wakuu mnaonaje tuKiungana tukapiga kampeni ya kuomba kufutwa hizi chaguzi za katikati(marudio,kuziba nafasi)..
Tunaanza na JF tukifanikiwa kupata uungwaji mkono wa members 1000 then we go public/open
Mkuu tunajikita katika point kuwa kwann tunashauri hizo chaguzi zifutwe,Wazo zuri sana. Tatizo mtukufu alishasema hajaribiwi. Tutafuatiliwa na Nissan nyeupe muda si mrefu.
Taratibu kama hizo hufanya kazi ktk nchi za kidemokrasia na siyo za kidikteta.