Zanzibar Waislamu na wakristo lived together in harmony - true sister and brothers ,hadi that fateful day wachumia tumbo wachache wamemwaga chuki. Jecha ni mwendelezo wa upupu.Unashangaa wakristo zenj mbona Chaz hilari Ni mkristo Na Ni mzenji
N kaka wa Tanzania's sweetheart Wema Isaack Sepetu......??? Wanaomfahamu tafadhali msaada
Pisha huko,, tangu lini Wema amekuwa mtoto wa Isaack Sepetu? Sema ni mtoto wa baba mkubwa/mdogo wa Wema!!N kaka wa Tanzania's sweetheart Wema Isaack Sepetu......??? Wanaomfahamu tafadhali msaada
Balozi Isaac Sepetu alifika bei kwa Mama wa Kinyiramba !!Ndio maana aaishi visa...
Hapo ndipo Mh Balozi alipoingia Chaka...Balozi Isaac Sepetu alifika bei kwa Mama wa Kinyiramba !!
Hata Jaji mkuu Mstaafu Mh Augustino Ramadhani pia na ni kiongozi wa KKKTUnashangaa wakristo zenj mbona Chaz hilari Ni mkristo Na Ni mzenji
Kwani yule Mzee balozi marehemu Issack Abraham Sepetu ni baba yake mzazi Wema sepetu au baba wa kufojiPisha huko,, tangu lini Wema amekuwa mtoto wa Isaack Sepetu? Sema ni mtoto wa baba mkubwa/mdogo wa Wema!!
sio huyu aliyesomea urusi, amani ndie aliyesomea urusimshikaji kasomea urusi ..kwa fegi noma sana
Kwaiyo ulitaka muslim acha udinihe mbona ni Mkristu jaman?
Katuachia kiumbe...Balozi Isaac Sepetu alifika bei kwa Mama wa Kinyiramba !!
Mbona kina wema nasikia wamezaliwa majike tupuni kaka wa madam wetu wema isack sepetu...
Kwani wapi iliandikwa vibaya?...Ila historia ya Mzee Isaack Sepetu iandikwe vizuri