sio huyu aliyesomea urusi, amani ndie aliyesomea urusi
Wote wamesoma urusi yeye na Amani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio huyu aliyesomea urusi, amani ndie aliyesomea urusi
View attachment 441733
Rais Dr Shein amemuapisha Jaji Mkusa Issack Sepetu Ikulu ya Zanzibar leo kuwa Naibu Jaji Mkuu wa Zanzibar.
Wewe hujui "viongozi" wanatamani wawe kama "King Solomon?Haya... tumejua tuliyekuwa hatujui
Atakuwa ameshalipwa kiinua mgongo na waliomtuma na sasa anakula bata akisubiri siku ya hukumu ya Muumba wa mbingu na ardhi.Jecha anasubiri kupangiwa kazi japo najua yupo anaishi Masaki !
Huko Zanzibar hakuna wengine, mbona nihaohao, au walipindua usultan na kuweka ufalme wa kienyeji. Babu, baba,watoto,wajukuu. Karume, Kombo, Kisasi,Talib,Jumbe... au hao wengine wasiokuwa na majina ya kimapinduzi hawaaminikiView attachment 441733
Rais Dr Shein amemuapisha Jaji Mkusa Issack Sepetu Ikulu ya Zanzibar leo kuwa Naibu Jaji Mkuu wa Zanzibar.
Ni padri wa Anglican mkuuHata Jaji mkuu Mstaafu Mh Augustino Ramadhani pia na ni kiongozi wa KKKT
Kila mmoja anaaminika sema hujabahatika tu kuwasikia wapo wengi sana.Huko Zanzibar hakuna wengine, mbona nihaohao, au walipindua usultan na kuweka ufalme wa kienyeji. Babu, baba,watoto,wajukuu. Karume, Kombo, Kisasi,Talib,Jumbe... au hao wengine wasiokuwa na majina ya kimapinduzi hawaaminiki
Sikujua hata jamii forum tunajadili mambo ya udaku na uwema nilijua hapa ni home of great thinkers tunajadili mambo makubwa ya nchi.Pisha huko,, tangu lini Wema amekuwa mtoto wa Isaack Sepetu? Sema ni mtoto wa baba mkubwa/mdogo wa Wema!!
Kwani uliambiwa Zanzibar ni jamhuri ya kiislamu?