Unaelewa maana ya transgender?Rais wa Marekani amezuia wanajeshi waliobadili jinsia kuwepo jeshini na waliobadili jinsia hawataruhusiwa kujiunga na jeshi
Trump to reinstate US military ban on transgender people - CNNPolitics.com
mtambo wa kurekebisha tabiaRais wa Marekani amezuia wanajeshi waliobadili jinsia kuwepo jeshini na waliobadili jinsia hawataruhusiwa kujiunga na jeshi
Trump to reinstate US military ban on transgender people - CNNPolitics.com
Mama Wewe kwanza hoja zako dhaifu kazi kuchafua watu tu. Tuambie au na Wewe umebadili jinsi kwasababu Tania hizo tunamashaka nazoIngekuwa Tz ungewaona akina kijo bisimba wakitoa kauli ya kulaani katazo hilo huku akiungwa mkono na wakili msomi ananyea debe kwasasa pamoja na rais wa mioyo yao huku nyumbu wa jf wakilalamikia katazo wakiongozwa na salary slip
Acha ufala kazi yako kuifikilia cdm tu. Fikilia mambo mengine.Safi Sana, ingekua Rais Magufuli katamka hili ungewasikia Chadema wanavyotokwa povu.
Demokrasia inaminywa nchini na kuna udictator
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ni wakusamehewa tuJamaa wanapinga mpaka yale ambayo kwa miaka kumi iliyopita walikuwa ndio wana ya lalamikia Bungeni. Ila leo ndio Mkuu akisema anayafanyia kazi wao wana kataa. Natamani kujua wana tokea nchi gani hawa nyumbu??
Hata sikuelewi ulichokiandika. Hebu rudia usome mwenyew labda utajielewaMama Wewe kwanza hoja zako dhaifu kazi kuchafua watu tu. Tuambie au na Wewe umebadili jinsi kwasababu Tania hizo tunamashaka nazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha Leo nimecheka sana... JF kweli great thinkers ni wachache sana... Wengi wamevamia hii mada hawaelewi hata maana ya transgender... Wanawaza ushoga na usagaji tuUnaelewa maana ya transgender?
Yote mishoga tu.Unaelewa maana ya transgender?
Kweli kabisa. Angeyapanga front line huko Mosul na Syria.Si bora angewaacha tu au kuwapeleka vitani, Asa unawarudisha katika jamii tena
Sent using Jamii Forums mobile app