Rais Dkt. Magufuli ahudhuria ibada ya Christmas mjini Singida, atoa Siri ya Ushindi wake wa 2015

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Mheshimiwa Rais yuko Mjini Singida kuhudhuria ibada ya CHRISTMASS.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakiwa katika Misa ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.
Hapa wakiwa katika sala.

Rais Magufuli na mkewe wakisilkiliza neno

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya kushiriki Misa ya Krismasi katika kanisa hilo mkoani Singida

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya kushiriki Misa ya Krismasi katika kanisa hilo mkoani Singida.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Baba Askofu wa Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda mara baada ya Ibada ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Baba Askofu wa Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda mara baada ya Ibada ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.

Baba Askofu wa Jimbo la Singida Askofu Edward Mapunda akimuombea na kumbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya Ibada ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakisalimiana na waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya ibada ya Krismasi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakipunga mkono wakati wakitoka kwenye Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida.


 
Merry Christmas Mheshimiwa

At Least Tumeiona Siku Hii Njema

Mungu Ibariki Tanzania


Rais ana Uhuru wa kusheherekea popote ndani ya nchi

Ni Uzalendo kusherehekea nasi hapahapa Tanzania

Kuliko angeenda Ulaya kwa gharama kubwa za walipa kodi

Kwa hili nimemuunga mkono, Hata kama angeenda Mwanza au Mtwara au popote ndani ya Nchi.

Naunga mkono maamuzi yako Mh Rais

Merry Christmas!


At least tuache siasa leo

Na tuwaunge mkono wakristo pote duniani katika siku yao tukufu.


Merry Christmas JF!


Forever JF!
 
Mheshimiwa Raisi yuko Mjini Singida kuhudhuri ibada ya CHRISTMASS.

Ikizingatiwa hana shughuli nyingine ya kitaifa/kikazi, Nilifikiri angesalia Dar angeokoa matumizi yasiyo ya lazima.!
Ingependeza angesali Christ the King Cathedral Moshi
 
Lini Raisi atafanya maadhimisho Kusini mwa Tanzania maana naona kila ziara na adhimisho ni Kaskazini tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…