famicho
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,192
- 2,823
Wamegawana region, Rais kaskaZini, makamu Zenji(mashariki) na PM kusini inabidi ajiongeze mwenyewe tu.... Ila naona naye anampango wa kuiamisha Ruangwa iende kaskaziniLini Raisi atafanya maadhimisho Kusini mwa Tanzania maana naona kila ziara na adhimisho ni Kaskazini tu