Umeona eeh watu ni waongo sana! Watu wa Kaskazini ni hard waorking na wanapata pesa kihalali. Wale wa magumashi ndio wanaozusha ooh pesa hakuna!Hivi waliotangaza kuwa maisha ni magumu sana mabasi yamepaki hamna abiria wa kusafiri, wanajisikiaje kuona watu wamekosa mabasi ,na wengine wakidandia coaster kwa nauli mara mbili.
Aibu ya kufungia mwaka hii.
FDIs haziwezi kumfuata mtu mwenye matusi kama huyu anayetuwakilisha hana skill hata moja ya kunegotiate ha ha washamba bwana utawajuwa na ni awekeze na kuleta mitaji kwenye nchi ya watu wasiojielewa wasio juwa mfumo wa uchumi wa dunia wenye makidai huku wakiwa maskini wa kutupwa wasio na plan zozote za kuboresha mazingira ya uwekezajiSass hivi tupo kwenye utandawazi...kuna kitu kinaitwa FDIs unakijua?
Alivyokaa na dangote na wakaelewana vzr alitumia skills zako????FDIs haziwezi kumfuata mtu mwenye matusi kama huyu anayetuwakilisha hana skill hata moja ya kunegotiate ha ha washamba bwana utawajuwa na ni awekeze na kuleta mitaji kwenye nchi ya watu wasiojielewa wasio juwa mfumo wa uchumi wa dunia wenye makidai huku wakiwa maskini wa kutupwa wasio na plan zozote za kuboresha mazingira ya uwekezaji
ha ha kiboko chake Ndagote alidhani atamchezea akachezewa akanywea na kuufyataAlivyokaa na dangote na wakaelewana vzr alitumia skills zako????
Mie nafikiri tuwe royal tu tutafute ufumbuzi wa Matatizo yetu badala ya kunyosheana vidole. Serikali inasema raia wake hawafanyi kazi, raia wanailaumu serikali kila mmoja analalamika ufumbuzi utatoka kwa nani kwenda kwa nani?Tumieni mvua zinazonyesha kulima mazao yanayositahiri ukame, na wakazi wa Singida ni hodari wa kulima mazao kama mtama, uwele na alizeti, kumbe watu wanafanya kazi ya kilimo, sasa lawama za kutokufanya kazi zinatokea wapi?