Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Joseph Magufuli.
Mabadiliko kwanza, ukawa kwanza, Lowassa kwanza mengine baadaye
Mchakato wa Katiba ulianza na utakamilika kisheria. Wagombea hawawezi kutudanganya kuleta katiba ya Warioba. Katiba ya warioba italetwa na sisi wananchi, kwa kuikataa katiba pendekezwa kura ya maoni itakapopigwa. Tukiikataa maana yake tunarejesha utaratibu wa kisheria mchakato kurudiwa katika kufanyiwa marekebisho tunayoyahitaji.
Sheria yenyewe ilishakiukwa (asomaye na afahamu). Hata hivyo, sheria siyo msahafu!
Tutolee majibu yanayojitosheleza, 'sheria sio msahafu' kwa hiyo? Unanatuambia rais ajaye aanze na kutengeneza mswada wa kubadili sheria?
Siku ukiwa unapanga utumbo wako panga juu ya familia yako ili hata kama ni madhara yaipate familia yako 'mwenyewe' ..nchi yetu tutapanga mambo yetu kwa akiri tulivu, bila mihemko, bila uchovu, bila ushabiki na kwa kuchukua tahadhari zote kwasababu hapa ndo kwetu na kwingine pa kwenda hatuna ..ni hatari kama kufanya upasuaji wa moyo, unahitaji utulivu mkubwa sana, nchi yetu ndo moyo wetu.