anapenda sana kugusia mambo aya kwenye hotuba zake....mbeya wakati anazindua mradi wa maji aliwaambia wananchi waongezee bidii ya kuzaana kwa sababu mradi huo ni mkubwa waliopo hawatoshi wanatakiwa waongezeke...Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
'
Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
M/kiti wa CCM, Rais wa nchi amesema CCM haitakufa. Moja ya ishara ya uhai wa CCM, alitaja ni ‘wasomi' wanaogombea nafasi ndani ya CCM.
Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.
Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na CCM ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. CCM inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.
Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.
Namuomba Rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na CDM, CUF, TLP, n.k. Tatizo lao CCM wakiona hao wanaoitwa ‘wasomi' wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.
Viti maalumu CHADEMA 2010 sifa kubwa nambari moja: Masters degree(alama 10), Degree ya kwanza (alama 8), Kukisaidia chama (alama 5) Kugombea jimboni (alama 5).MANYANI HAYAONI MAKALIO YAO.Dah huyu ndiye raisi bhana ila kwa haya nina maswali kadhaa
1. kumbe chama kikiwa na wasomi hakiwezi kufa
2. Kwa hiyo kumbe CCM mwanzo haikuwa na wasomi ndo maana kilitaka kufa
3. Kumbe wasomi pekee ndio wenye kuingoza CCM
Poor thing Prisidaa
I am surprised with JK statement as you have posted above since there is a very wise saying which says that Mosses could not control his people despite removing them from captivity....
I or you or anybody for that matter cannot really control people actions it is actually better for you to detach from issues like these since people are like that and it is not in your control so why stress yourself...It is just matter of time and people's power.
Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
Ameenda mbali zaidi na kudai CCM haiwezi kufa wakati imejaa wasomi! hundred and one questions:
Mwenyekiti Go back to drawing Board....:A S 39:
- Kanu ilipokufa ilikuwa haina wasomi?
- Haya yote yanayotokea CCM hakuna wasomi
M/kiti wa CCM, Rais wa nchi amesema CCM haitakufa. Moja ya ishara ya uhai wa CCM, alitaja ni wasomi wanaogombea nafasi ndani ya CCM.
Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.
Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na CCM ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. CCM inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.
Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.
Namuomba Rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na CDM, CUF, TLP, n.k. Tatizo lao CCM wakiona hao wanaoitwa wasomi wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.
JK ni wise sana na wengi wenu msipo tafakari kauli zake kwa kina huishia kukurupuka km mleta thread hii. Kwa maneno aliyoyasema JK ni dongo kubwa sana kwa CDM na hapa alikuwa anasema Mbowe si msomi, lema si msomi nk. Na hakuna shaka cdm ina wasomi wakuhesabu. Hawawezi kuwa sawa wasomi na wasio wasomi, kwa dunia ya sasa km si msomi umejimaliza mwenyewe
Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
JK ni wise sana na wengi wenu msipo tafakari kauli zake kwa kina huishia kukurupuka km mleta thread hii. Kwa maneno aliyoyasema JK ni dongo kubwa sana kwa CDM na hapa alikuwa anasema Mbowe si msomi, lema si msomi nk. Na hakuna shaka cdm ina wasomi wakuhesabu. Hawawezi kuwa sawa wasomi na wasio wasomi, kwa dunia ya sasa km si msomi umejimaliza mwenyewe
Binadamu huyasema yaliyomjaa moyoni.Mlipanda mchongoma mnataka mvune ulezi?Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
Tumsamehe ndo upeo wake!
Suala la foleni badala ya kutuambia impact kwenye uchumi watu wanapodrive 12km/hr yeye anaongelea Ndoa kuvunjika
ndicho kilchojaa akilini mwake...unajua ana wake wangapi, kweli mikoa ya pwani haifai kutoa viongozi wa kitaifa kwa sababu ya historical background yao
Lile lilikuwa changa la macho kuwatisha baadhi ya wagombea mwisho wa siku wenye certificate za hotel management wakapewa ubunge.Post yeyote CDM inasimamiwa na vigezo vikuu viwili 1. ukanda na 2.unanaswaba ipi na wenye chama.Asilimia 89.99% ya wabunge viti maalum CDM ni STD 7.Viti maalumu CHADEMA 2010 sifa kubwa nambari moja: Masters degree(alama 10), Degree ya kwanza (alama 8), Kukisaidia chama (alama 5) Kugombea jimboni (alama 5).MANYANI HAYAONI MAKALIO YAO.