Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,323
Ni jambo zuri kusheherekea muungano
Umekosea mkuuTarehe 26 April ni siku muhimu sana kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...tutasherehekea sherehe za Muungano like never before..
Rais wetu mpendwa akishamaliza kusema ya kwake pale Uwanja wa Uhuru na kuondoka na viongozi wenzake kwenda kula ubwabwa na mvinyo laini Ikulu...sisi raia wengine kwa makumi maelfu yetu tutabaki hapo hapo uwanjani kuendelea na sherehe za Muungano...
This time we want to celebrate and mark it like never before...We wanna MAKE TANZANIA GREAT AGAIN!
Come Onn People!
Weka jiwe tuweke chuma.Yeye ni jiwe amesema mwenyewe