The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
- Thread starter
- #41
Tokea awe hivyo ( Rais ) mwaka 2015 Watanzania wamemshauri / tumemshauri mambo mengi tu ile je, hadi leo hii ametusikia au katupuuza mno?
Tupac aliwahi kusema tunaongea hata leo leo yasipofanyiwa kazi ..kuna mtu anaweza sikia leo akaja kuyafanyia kazi baadae...
Tunapomshauri yeye tunawashauri na Ma Rais watarajiwa pia.. anaweza akaja mwingine akaufanyia kazi ushauri