Raila Odinga yuko wapi?

Kenyan

JF-Expert Member
Jun 7, 2012
414
313
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga pamoja na Viongozi Wakuu wa Muungano wa Azimio akiwemo Martha Karua hawajulikani waliko.

Vilevile Wabunge kadhaa wa Muungano wa Azimio akiwemo Mheshimiwa Babu Owino wangali bado kujitokeza hadharani.

Haijabainika wazi iwapo ni mpango wa Raila kutojitokeza hadharani au amezuiliwa nyumbani kwake na maafisa wa polisi.

Ikumbukwe Odinga ni moja kati ya Viongozi waliopokonywa walinzi wao na Serikali.
 
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga pamoja na Viongozi Wakuu wa Muungano wa Azimio akiwemo Martha Karua hawajulikani waliko.

Vilevile Wabunge kadhaa wa Muungano wa Azimio akiwemo Mheshimiwa Babu Owino wangali bado kujitokeza hadharani.

Haijabainika wazi iwapo ni mpango wa Raila kutojitokeza hadharani au amezuiliwa nyumbani kwake na maafisa wa polisi.

Ikumbukwe Odinga ni moja kati ya Viongozi waliopokonywa walinzi wao na Serikali.
Leo maandamano yalikuwepo ?....
 

Attachments

  • IMG-20230719-WA0010.jpg
    IMG-20230719-WA0010.jpg
    84 KB · Views: 5
Tetesi zinasemaje ?

Nadhani wewe Kenyan utakuwa na access nzuri zaidi ya kuleta majibu kuliko sisi...., Habari za kwenye Grapevine zinasemaje
 
Back
Top Bottom