Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 313
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga pamoja na Viongozi Wakuu wa Muungano wa Azimio akiwemo Martha Karua hawajulikani waliko.
Vilevile Wabunge kadhaa wa Muungano wa Azimio akiwemo Mheshimiwa Babu Owino wangali bado kujitokeza hadharani.
Haijabainika wazi iwapo ni mpango wa Raila kutojitokeza hadharani au amezuiliwa nyumbani kwake na maafisa wa polisi.
Ikumbukwe Odinga ni moja kati ya Viongozi waliopokonywa walinzi wao na Serikali.
Vilevile Wabunge kadhaa wa Muungano wa Azimio akiwemo Mheshimiwa Babu Owino wangali bado kujitokeza hadharani.
Haijabainika wazi iwapo ni mpango wa Raila kutojitokeza hadharani au amezuiliwa nyumbani kwake na maafisa wa polisi.
Ikumbukwe Odinga ni moja kati ya Viongozi waliopokonywa walinzi wao na Serikali.