Raila Odinga na Kalonzo Musyoka wapokonywa walinzi

Kenyan

JF-Expert Member
Jun 7, 2012
414
313
Serikali imewapokonya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga na Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka walinzi dakika chache zilizopita.

Aidha Wabunge sita akiwemo Opiyo Wandayi vilevile wamepokonywa walinzi.

Kawaida Viongozi wa ngazi za juu serikalini wanapostaafu hupewa walinzi kwa ajili ya usalama wao.

Hatua hii inakuja baada ya Viongozi mbalimbali wa serikali kumuomba Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kuwapokonya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Raila Odinga na Kalonzo Musyoka walinzi wao, kwa tuhuma kuwa ndio wafadhuli Wakuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa nchini.

Aidha pia kuna wito mkubwa kutoka kwa Wabunge wa Kenya Kwanza kumokonya Uhuru Kenyatta mafao yake ya pensheni.
 
Serikali imewapokonya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga na Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka walinzi dakika chache zilizopita.

Aidha Wabunge sita akiwemo Opiyo Wandayi vilevile wamepokonywa walinzi.

Kawaida Viongozi wa ngazi za juu serikalini wanapostaafu hupewa walinzi kwa ajili ya usalama wao.

Hatua hii inakuja baada ya Viongozi mbalimbali wa serikali kumuomba Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kuwapokonya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Raila Odinga na Kalonzo Musyoka walinzi wao, kwa tuhuma kuwa ndio wafadhuli Wakuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa nchini.

Aidha pia kuna wito mkubwa kutoka kwa Wabunge wa Kenya Kwanza kumokonya Uhuru Kenyatta mafao yake ya pensheni.
Naona Kenya wanataka kufuata haya ninayoyaona Tanganyika.

Soon Kenya inaelekea ku practice u communist.
 
Serikali imewapokonya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga na Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka walinzi dakika chache zilizopita.

Aidha Wabunge sita akiwemo Opiyo Wandayi vilevile wamepokonywa walinzi.

Kawaida Viongozi wa ngazi za juu serikalini wanapostaafu hupewa walinzi kwa ajili ya usalama wao.

Hatua hii inakuja baada ya Viongozi mbalimbali wa serikali kumuomba Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kuwapokonya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Raila Odinga na Kalonzo Musyoka walinzi wao, kwa tuhuma kuwa ndio wafadhuli Wakuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa nchini.

Aidha pia kuna wito mkubwa kutoka kwa Wabunge wa Kenya Kwanza kumokonya Uhuru Kenyatta mafao yake ya pensheni.
Wakimgusa kenyatta kitanuka
 
Serikali imewapokonya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga na Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka walinzi dakika chache zilizopita.

Aidha Wabunge sita akiwemo Opiyo Wandayi vilevile wamepokonywa walinzi.

Kawaida Viongozi wa ngazi za juu serikalini wanapostaafu hupewa walinzi kwa ajili ya usalama wao.

Hatua hii inakuja baada ya Viongozi mbalimbali wa serikali kumuomba Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kuwapokonya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Raila Odinga na Kalonzo Musyoka walinzi wao, kwa tuhuma kuwa ndio wafadhuli Wakuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa nchini.

Aidha pia kuna wito mkubwa kutoka kwa Wabunge wa Kenya Kwanza kumokonya Uhuru Kenyatta mafao yake ya pensheni.
Siasa
 
Serikali imewapokonya Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga na Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka walinzi dakika chache zilizopita.

Aidha Wabunge sita akiwemo Opiyo Wandayi vilevile wamepokonywa walinzi.

Kawaida Viongozi wa ngazi za juu serikalini wanapostaafu hupewa walinzi kwa ajili ya usalama wao.

Hatua hii inakuja baada ya Viongozi mbalimbali wa serikali kumuomba Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kuwapokonya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Raila Odinga na Kalonzo Musyoka walinzi wao, kwa tuhuma kuwa ndio wafadhuli Wakuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa nchini.

Aidha pia kuna wito mkubwa kutoka kwa Wabunge wa Kenya Kwanza kumokonya Uhuru Kenyatta mafao yake ya pensheni.
Kama kupewa walinzi kupo kisheria hii kuwapokonya haijakaa sawa.

Serikali kutumia mabavu na kina Raila kutumia mabavu kutaleta uharibifu tu...

Sidhani kama Kenyatta ana sababu ya kuungana na Raila kuchochea maandamano, huenda ni siasa tu hizi za kumchafua kutokana na kumpigia kampeni Raila na kumtosa makamu wake uchaguzi uliopita.

MK254 zitto junior
 
Kama kupewa walinzi kupo kisheria hii kuwapokonya haijakaa sawa.

Serikali kutumia mabavu na kina Raila kutumia mabavu kutaleta uharibifu tu...

Sidhani kama Kenyatta ana sababu ya kuungana na Raila kuchochea maandamano, huenda ni siasa tu hizi za kumchafua kutokana na kumpigia kampeni Raila na kumtosa makamu wake uchaguzi uliopita.

MK254 zitto junior
Na kuwapokonya ipo kisheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom