sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,679
- 9,839
Kupitia ukurasa wake wa X nguli wa demokrasia nchini Kenya.
Nilifanya majadiliano na viongozi wa upinzani kutoka Tanzania waliokuja kunitembelea kwa ziara ya heshima. Tulibadilishana mawazo kuhusu kuimarisha demokrasia barani Afrika, ikiwemo mchango madhubuti wa vyama vya siasa katika maendeleo ya taifa, iwe vilivyo katika serikali au vinavyokuwa nje ya serikali.
Niliwashauri wazingatie umuhimu wa mazungumzo na ushirikiano wa kimaendeleo na serikali kwa manufaa ya taifa na uhifadhi wa demokrasia ya Tanzania. Natarajia uchaguzi wa amani na wa uwazi katika uchaguzi ujao wa Tanzania.
Soma Pia: Tundu Lissu akutana na Raila Odinga Jijini Nairobi na kufanya naye Mazungumzo
Ni wakati wa Lissu na machawa wake kusikiliza ushauri wa wanasiasa wenye uzoefu na uelewa. Waachane na utoto wa no reform no election.
Nilifanya majadiliano na viongozi wa upinzani kutoka Tanzania waliokuja kunitembelea kwa ziara ya heshima. Tulibadilishana mawazo kuhusu kuimarisha demokrasia barani Afrika, ikiwemo mchango madhubuti wa vyama vya siasa katika maendeleo ya taifa, iwe vilivyo katika serikali au vinavyokuwa nje ya serikali.
Niliwashauri wazingatie umuhimu wa mazungumzo na ushirikiano wa kimaendeleo na serikali kwa manufaa ya taifa na uhifadhi wa demokrasia ya Tanzania. Natarajia uchaguzi wa amani na wa uwazi katika uchaguzi ujao wa Tanzania.
Soma Pia: Tundu Lissu akutana na Raila Odinga Jijini Nairobi na kufanya naye Mazungumzo
Ni wakati wa Lissu na machawa wake kusikiliza ushauri wa wanasiasa wenye uzoefu na uelewa. Waachane na utoto wa no reform no election.