10m tu...tusingalikuwa hapa...Kama ingekuwa 100m sijui kama tungesoma hapa
Aisee kuna ukweli kwny bandiko nakumbuja hata JK akiwa raisi alipataga scandal ya kuhongwa suti 3 na wale waarabu aisee.Siyo masikini, ni kwamba wametusoma wametujua kulikotunavyojijua, wanatuona ngedere tu, hiyo ni dalili kuwa kuna watendaji wanavipokea hivyo na huo ni mwendelezo tu, jiulize swali, mtanzania anaweza kudiriki kutoa rushwa China!? Seriousness katika mambo ya msingi haipo hapa kwetu, kama sheria zingekuwa kali huyo mchina asingethubutu hata kufikiria kutoa hiyo rushwa.
Hee Faiza umerudi? Niliku miss mno! Nilikuwa sili silali nakuwaza wewe tu kama uko salama!= kamdhalilisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Aisee kuna ukweli kwny bandiko nakumbuja hata JK akiwa raisi alipataga scandal ya kuhongwa suti 3 na wale waarabu aisee.
Angetoa milioni 10 aone kama angeikataa..
= kamdhalilisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Labda majani ya chai ya kuongeza nguvu za kiume!!!Kweli wachina ni maskini,Mkuu wa mkoa vs Majani ya chai hahah.
Ni kila mweziHuyo raia naye rushwa gani hiyo? Shs 1M!
Watu wanatuma kontena 20 zenye mali siku hizi
ni kila mwezi Milioni mojahii ni dharau rushwa ya 1m. na majani ya chai hahahaha bora mkuu amechomoa. yaani kamdharirisha sana majani ya chai bora hata angemuhonga suti
hahahaha mkuu ko m1 kwa kila mwezi unaiona kubwani kila mwezi Milioni moja