Mzee wa Usafi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 645
- 294
unamsingizia Mbwambo
naona humjui vizuri kumlinganisha na Manyerere ni kumtukana
Naona BOSS wewe uko ROHONI mwake unajuwa hata anafikiria nini hongera.....Mbwambo kama kweli ni mwandishi ambaye hayuko bias basi angetukumbushia na stori walizo ziandika za Magufuli za SUNDI MALOMO...., mdogo wake Magufuli...unakumbuka walimwandika Magufuli mpaka Chinga akawatishia alipokuwa anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Singida pale Puma?