Namshukuru Mungu kuniwezesha kutambua ni kwanini magazeti haya sasa hivi yanamchafua sana Lowassa.
Hii ni hali ileile iliyompa ulaji Salva na Salva sasa ni mtu mwingine tofauti na mwandishi wa habari. Salim alichafuliwa vilivyo mpaka mukulu tukamuita chaguo la Mungu.
Kwa taarifa yenu watanzania wa sasa si wa miaka kumi iliyopita mtaandika na kuchafua sana lakini ukweli utabaki palepale.
Mabadilikoooooo....................
Hii ni hali ileile iliyompa ulaji Salva na Salva sasa ni mtu mwingine tofauti na mwandishi wa habari. Salim alichafuliwa vilivyo mpaka mukulu tukamuita chaguo la Mungu.
Kwa taarifa yenu watanzania wa sasa si wa miaka kumi iliyopita mtaandika na kuchafua sana lakini ukweli utabaki palepale.
Mabadilikoooooo....................