Rai yangu kushughulikia Panya Road

Rai yangu kushughulikia Panya Road

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,549
Panya roads inabidi wapigwe wakamatwe ila wasiuwawe.

Kumbukeni kwa hali ilivyo nchini hawa watoto ni wakuwaonea huruma.

Wenzao wazazi wao wanawatimizia mahitaji yote muhimu, chakula, malazi na mavazi, wao wanajitegemea kwa sababu baadhi yao hawana wazazi, au maisha magumu nyumbani.

Wale ni watoto kiumri inapaswa wakamatwe wapelekwe chuo cha maisha (gerezani) wasaidiwe kisaikolojia.


Najua kwa tamko la RC wengi watauawa. Hii itasabisha laana kubwa sana kwa taifa.

Hao wasio na hatia wakifa..kuna tukio baya sana litaikuta nchi yetu.

Nawasilisha.
 
Hii tabia ya kutumia kisingizio cha maisha magumu kuhalalisha uharifu ni moja wapo ya upumbavu.
Kama ni hivyo watz wote tungekuwa waharifu maana karibia aslimia 85 ya watz wanaishi maisha ya kubangaiza.

Kama unajijua huna uwezo wa kulea mtoto usizae sio uzae kwa siterehe zako alafu una tegemea jamii ikulelee.
 
Mkuu...mwizi chake kifo...kwanini mwingine ajibane wewe uibe...hizo nguvu za kuiba wazielekeze kwenye kazi.
 
Auae kwa upanga nae atauwawa kwa upanga.

Apply Newton's Third law of motion. Simply in every action there is an opposite and equal reaction.

Kama wao wanatumia panga basi dawa yao ni panga. Futilia mbali kizazi cha shetani hicho.
 
So simple tu

PIGENI KURA ZA SIRI KILA MTAA

Panya Road hawaishi MBINGUNI
 
Panya roads inabidi wapigwe wakamatwe ila wasiuwawe.

Kumbukeni kwa hali ilivyo nchini hawa watoto ni wakuwaonea huruma.

Wenzao wazazi wao wanawatimizia mahitaji yote muhimu, chakula, malazi na mavazi, wao wanajitegemea kwa sababu baadhi yao hawana wazazi, au maisha magumu nyumbani.

Wale ni watoto kiumri inapaswa wakamatwe wapelekwe chuo cha maisha (gerezani) wasaidiwe kisaikolojia.


Najua kwa tamko la RC wengi watauawa. Hii itasabisha laana kubwa sana kwa taifa.

Hao wasio na hatia wakifa..kuna tukio baya sana litaikuta nchi yetu.

Nawasilisha.
Eti laana stupidly kabisa..! Hivyo ni vya kupigwa risasi tu.
 
Hapa Niko nawaza nafikaje keko Happ Niko katk dldl nimetoka mbagala nasiki wanakiwasha kule
 
Bangi + Valium (Mbandandu) + Double Kick, Vijana wanakua vichaa wauwawe tu mambo yasiwe mengi.
 
Upo sahihi, wasiuwawe ila wadhibitiwe ipasavyo,
Sheria ya Dini inasema Mwizi akatwe Mkono basi wangewakata mikono na kuwaacha.
Unadhani ni sawa kuwakata mikono vijana wadogo (under 18) kisa ni wezi ?
 
Unadhani ni sawa kuwakata mikono vijana wadogo (under 18) kisa ni wezi ?
Wizi kwako unaona ni jambo dogo sana, hao vijana wa under 18 unajua madhara wanayoyafanya wa jamii??

Ndie nyie wafadhili wao nini??
 
Wizi kwako unaona ni jambo dogo sana, hao vijana wa under 18 unajua madhara wanayoyafanya wa jamii??

Ndie nyie wafadhili wao nini??
Under 18 bado ni mtoto, madhara wanayosababisha yanatokana na malezi na makuzi waliyopewa.

kuwakata mikono na kuwatia watoto ulemavu wa maisha kisa dini inaelekeza ni ukiukaji wa haki za kibinadamu.
Yoda
 
Back
Top Bottom