KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Kibaraka wenu K. Limbu hana pa kutokea safari hii.
Zitto ana haki ya kikatiba kugombea nafasi yeyote ndani ya ACT.
Khaaaa na Limbu tena amekuwa kibaraka?
Kibaraka wenu K. Limbu hana pa kutokea safari hii.
Zitto ana haki ya kikatiba kugombea nafasi yeyote ndani ya ACT.
Naona soni kuwa nawe chama kimoja. Kweli CCM imebeba mengi
Mzee Tupatupa
Kibaraka wenu K. Limbu hana pa kutokea safari hii.
Zitto ana haki ya kikatiba kugombea nafasi yeyote ndani ya ACT.
Hukuwahi kuwa mwana CCM we mnafiki!
zitto anajipambanua kuwa ni mjamaa lakini
anatembelea gari la kifahari aina ya
Hummer wakati watu wa jamii yake hawana
huduma ya maji safi na salama...huyo
inawezekana kwamba haielewi dhana yenyewe
ya ujamaa au kwa makusudi tu ameamua
kuzikopesha akili zake kwa wajinga
kilaza
Hukuwahi kuwa mwana CCM we mnafiki!
Hasiiki huyu, alihusishwa act lakini Leo kang'atuka cdm kesho huyooo kwenye chama lake na uenyekiti atagombea
Kweli baba...tufanye mambo ya maana.Tuachane nayeHivi jamani, Tanzania hatuna topiki ntingine muhimu zaidi ya hii ya Zitto Kabwe? Hii korasi ishanikinai miye, na tuanzisheni wimbo mwingine. Tuna mambo mengi sana ya kujadili kuhusu taifa hili, hasa mkizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi. Kuendelea kumjadili Zitto Kabwe ni kudhihirish a mtazamo wake (au pengine wa mashabiki wake) kuwa yeye alikuwa mtu muhimu na maarufu kuliko Chadema.
Hivi msalani kumbe umekuwa ACT siku hiziKibaraka wenu K. Limbu hana pa kutokea safari hii.
Zitto ana haki ya kikatiba kugombea nafasi yeyote ndani ya ACT.
Ushauri ni nzuri, lakini si kila ushauri lazima uukubari.Kwako Zitto,
Najua kuwa sasa wewe ni mwanachama wa chama kipya kitakachozinduliwa tarehe 29 mwezi huu kiitwacho ACT-Tanzania. Najua pia kuwa umekuwa ukihusishwa na chama hiki tangu kilipopata usajili wa muda na baadaye wa kudumu chini ya Mwenyekiti Kadawi Limbu,ambaye pia alianzisha chama cha ADC. Najua tena kuwa wewe Zitto umekuwa ukikanusha na kukana kuhusika na ACT-Tanzania wakati ukiwa CHADEMA. Ukajiunga mara tu ya kufukuzwa uanachama CHADEMA.
Zitto,
Chokochoko za tuhuma dhidi yako za usaliti zilihusishwa na mkakati na jitihada zako za kuwania Uenyekiti wa CHADEMA. Imeaminishwa hivyo ingawa yawezekana isiwe kweli. Mchoro wako unaochorwa ni mtu mzalendo,mpenda mapambano ya kidemokrasia na unayechukia rushwa na ufisadi. Mchoro wako hauoneshi usakatonge wako. Wewe na wapambe wako mmekuwa mkiufurahia mchoro huu. Yaweza ukawa si mchoro sahihi. Onesha ukweli wa mchoro huo sasa.
Zitto,
Tafadhali usigombee nafasi yoyote ya uongozi ndani ya ACT-Tanzania hapo tarehe 29 Machi, 2015. Jioneshe kuwa wewe si msaka madaraka;hukuwa unahusika na ACT-Tanzania tangu mwanzo na kwamba wewe si mpenda vyeo na msakatonge. Ukigombea chochote au kudai umeombwa kugombea chochote, Tanzania itathibitisha pasi na shaka kuwa wewe ndiye mchoraji bora wa michoro ya kisiasa ikuhusuyo ingawa huchori kitu sahihi.
Ni ushauri na rai tu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Unazidi kujidhalilisha kama mwehu, Kitengo gani? Unaandika kama vile unanifahamu kumbe hata kwa rangi hunijui, si uchizi huo?Thibitisha. Chunga kauli zako. Zitakuliza na kukuua njaa kwenye kitengo ulichopo.
Mzee Tupatupa