Rai ya Alphonce Mawazo kwa wana CHADEMA

aisifiae mvua imemnyea. yaelekea na wewe yamekukuta. tueleze tu ukweli yaliyokukuta ndo ukaanza kuwabebeleza wasikilizaji wako waliokuwa na hasira juu ya unyanyaswaji anaofanyiwa zitto. hawajakupopoa mawe kweli?

 

Hongera kwa kazi nzuri ya kujenga chama kamanda lakini ni vyema ukaachana na kutaja jina la ZZK kwa mabaya maana mwenzio akinyolewa na wewe tia maji.
Wenzako walianza hivyo hivyo kujenga CDM wakiwa wadogo sana tena kwa jitihada kubwa sana pengine kuzidi hata wewe kamanda,lakini mwisho wa siku walikuja kuonekana wabaya pale tu walipotofautiana na wanaoitwa WENYE CHAMA. Angalia leo usiitwe kamanda na kesho ukaitwa msaliti pale utakapotofautiana na WENYE CHAMA.
 
RIP Dr Mgimwa, the latest victim of establisment's brutality. You dont think like them you go.
 

Hivi wewe UNADHANI JUHUDI ZAKO ZA KUIJENGA CHADEMA ZINAZIDI ZILE ALIZOKWISHAZIFANYA ZITTO?- WEWE UNAPATA PLATFORM YA KUZUNGUMZA KWA SABABU ULISHAJENGEWA MAZINGIRA NA AKINA ZITTO OTHERWISE ASINGEKUSIKILIZA MTU
 
Pamoja kamanda stay focused..lengo n kuyatoa haya ma ccm
 

Mnatamani yaishe lakini hata hamjui yataishaje, nakumbuka kibabu chenu kilisema mjadala kuhusu Zitto umefungwa. Yako wapi sasa?
Mmewasha moto halafu mmeshindwa kuuzima, na mwaka ndo kwanza unaanza.
Mpaka ifike Disemba, kazi mnayo...
 
Mawazo mawazo yako ni ya muhimu sana wakati huu.

Makamanda kila mtu ageukie kijiji chake kupeleka ujumbe wa mabadiliko. Issue ya mahakama tuwaachie kina Tundu na wanasheria wetu. Tusiwe kama CCM, hawahangaiki kujenga chama chao zaidi ni kuishambulia CDM usiku na mchana
 
Zitto kaijenga cdm au cdm ndo imemjenga zitto?!!! Lini zitto alifanya ziara zake za kuizunguka tanzania kueleza uhalisia wa hali ya nchi na kutoa elim ya uraia kiujumla wake hata kufikia robo ya mawazo?
 
Kila la kheri mkuu, natamani ningeambatana nawe but niko mbali kikazi tafadhari mwambie kamanda Paulo Magembe diwani wa Maganzo,ambaye naamini ndiyo mwenyeji wako akupangie mkutano Mwadui mgodini,utoe mrejesho hapa JF,Mimi ni miongoni mwa makamanda tulio izika CCM mgodini na pale Shybush sec
 
Sana kamanda tusonge mbele na CDM msingi ili tuishikishe adabu CCM ..hapa ni mwendo mdundo na twanga kotekote mpaka kieleweke

Peoooooplesssssssssssssssssssssssss,POWER CHADEMA!
 
Piga mkutano pale Mwang'holo pia cdm iko juu pale niliizika CCM pale,kawatie moyo zaidi
 

Ndicho haswaa kinachopaswa kufanyika sasa, ni vizuri CDM ikaendelea na program zake
 
Huyu ni div 5! Hata Jina lake hawezi kuandika! "Kamnda' ndio nini?

Kwa taarifa yako tu ni kwamba:, huyu Alphonce Mawazo ana shahada(degree) ya ualimu kutoka pale Mount Meru university.Ualimu ni hot cake isiyoishiwa ajira Tanzania. Amegraduate akiwa bado kijana mbichi kabisa hivyo hana elimu ya kuungaunga na super glue kama ya bosi wako Mwigulu na Nape. Kuandika "kamnda" hiyo ni hoby yake boya wewe!
 
Hahah...Si msupport Zitto lkn huwez kulirahisisha hili swala boss..!!
Reputation ya CHADEMA itategemea sana jinsi mtakavyo handle hii saga...!! Wala usijidanganye...kudeny ukweli kwa kukimbilia vijijini...Zitto anajulikana hata vijijini...tumng'oe kama kweli kuna tangible allegations..tuziweke hadharani...lkn pia uongoz wa juu ujisafishe na tuhuma alizo ziraise Zitto...face the reality..dont distract ppoz attention..Watanzania sio wajinga tena..HATA HUKO KISHAPU...!!
 

Unaweza kuizika CCM nyuma ya keyboard?
 

Umevurugwa wewe! kwa akili zako za kigambagamba unadhani unaweza kumkatisha tamaa kamanda wa ukweli kama mawazo? kwanza usimlinganishe na huyo mamluki,mpenda sifa anayeshabikiwa na magamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…