Kwanza natoa pole kwa watanzania wote wapenda amni nchini Tanzania kwa tukio baya kabisa lililotokea jana katika Jiji la Arusha.
Natoa pole za dhati kwa wafiwa na majeruhi wote wa tukio la bomu na pole nyingi kwa Chadema kwani huu ni msiba mkubwa sana kwao.
Kutokana na tukio baya kama hili napenda kuishauri tume ya uchaguzi kuhairisha chaguzi zote ndogo za udiwani katika kata zote za jiji la arusha ili kuwawezesha wanachi wote kushiriki kwa amani katika maombolezo ya vifo vilivyotokea kutokana na tukio la ugaidi lilofanywa na watu wapuuzi kabisa.
Mwisho watu wote ambao wanatiliwa mashaka na wananchi kuhusika na tukio hili ni bora police ikaanza kuwajamata na kuwahoji kwa upelelezi hata kama ni viongozi wakubwa wa vyama vya siasa
no way out kwa hili la kumwaga damu zisizo na hatia watanzania tutaungana na kupambana na wote wasioitakia mema nchi yetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa.
Shimeshime Police na Tume ya taifa ya uchaguzi futeni maramoja uchaguzi wa leo ili kuwawezsha wana arusha kuomboleza kwa amani
Poleni tena wafiwa, majeruhi na wanachadema wote kwa yote yaliyowatokea hakika mimi kama mwana ccm mpenda amani naungana na watu wote kulaani tukio hili nanataka wote waliohusika wakamatwe mara mojo pasipo kujali uraia wao, ukabila wao, udini wao, rangi yao, umaarufu wao na vyama vyao vya siasa.
Natoa pole za dhati kwa wafiwa na majeruhi wote wa tukio la bomu na pole nyingi kwa Chadema kwani huu ni msiba mkubwa sana kwao.
Kutokana na tukio baya kama hili napenda kuishauri tume ya uchaguzi kuhairisha chaguzi zote ndogo za udiwani katika kata zote za jiji la arusha ili kuwawezesha wanachi wote kushiriki kwa amani katika maombolezo ya vifo vilivyotokea kutokana na tukio la ugaidi lilofanywa na watu wapuuzi kabisa.
Mwisho watu wote ambao wanatiliwa mashaka na wananchi kuhusika na tukio hili ni bora police ikaanza kuwajamata na kuwahoji kwa upelelezi hata kama ni viongozi wakubwa wa vyama vya siasa
no way out kwa hili la kumwaga damu zisizo na hatia watanzania tutaungana na kupambana na wote wasioitakia mema nchi yetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa.
Shimeshime Police na Tume ya taifa ya uchaguzi futeni maramoja uchaguzi wa leo ili kuwawezsha wana arusha kuomboleza kwa amani
Poleni tena wafiwa, majeruhi na wanachadema wote kwa yote yaliyowatokea hakika mimi kama mwana ccm mpenda amani naungana na watu wote kulaani tukio hili nanataka wote waliohusika wakamatwe mara mojo pasipo kujali uraia wao, ukabila wao, udini wao, rangi yao, umaarufu wao na vyama vyao vya siasa.