Raha ya ubatizo maji mengi

Raha ya ubatizo maji mengi

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,829
1899987_645743728805091_1020201585_n.jpg
 
Huyu anataka kuua sasa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
maji yenyewe machafu hivyo aise duh ubatizo gani huo
 
Duh mkuu tuko kwenye jukwaa la picha bana masuala ya akina Slaa peleka kule jukwaa la siasa
Hahahaaa...aisee huyo jamaa kaniacha hoi..nimecheka bila kupenda yani...
 
Duh mkuu tuko kwenye jukwaa la picha bana masuala ya akina Slaa peleka kule jukwaa la siasa
ni kweli mkuu lakin hapa tunaijadili picha na uzuri miguu imeonekana just nimefananisha tu hiyo miguu. 'niliwahi soma PHOTOGRAPHY INTERPRETATION nimetumia hii knowledge' samahan kama umekwazika.
 
ni kweli mkuu lakin hapa tunaijadili picha na uzuri miguu imeonekana just nimefananisha tu hiyo miguu. 'niliwahi soma PHOTOGRAPHY INTERPRETATION nimetumia hii knowledge' samahan kama umekwazika.
Hahahaaa...Mkuu umetisha...
 
itakua enzi hizo, maana miguu kama ya Dr Slaa.

Bila shaka we ni boflo na alipata kukuingilia ndiyo maana unamwonea wivu mke aliyeolewa naye na ili kututhibitishia hilo unaweza itambua miguu yake hata ikijotokeza tu kwenye maji?
Kwa taarifa yako yeye hatumii uchafu huo katembeze kwa wanaotumia, na bila shaka kina Neppi et al.
 
ni kweli mkuu lakin hapa tunaijadili picha na uzuri miguu imeonekana just nimefananisha tu hiyo miguu. 'niliwahi soma PHOTOGRAPHY INTERPRETATION nimetumia hii knowledge' samahan kama umekwazika.


Samahani yako imepokelewa mkuu ila sometime tukiona hayo majina huku kwenye jukwaa la picha tunahisi ni wale wale wanaofananisha kila kitu na siasa ndo maana hatuyapendi kuyasikia
 
Huo mto hauwezi kukosa mamba...akitokea hapo sielewi watakuwa wageni wa nani.!!!
cc Preta.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli mkuu lakin hapa tunaijadili picha na uzuri miguu imeonekana just nimefananisha tu hiyo miguu. 'niliwahi soma PHOTOGRAPHY INTERPRETATION nimetumia hii knowledge' samahan kama umekwazika.

we jamaa ni tatizo. unalazimisha kututoa kwenye mada makusudi du!!!

ila umeniacha hoi na post yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom