Raha ya ubatizo maji mengi

Raha ya ubatizo maji mengi

1899987_645743728805091_1020201585_n.jpg

  • Watu na imani zao , na jinsi walivyo yashika mafundisho yao
 
uwiii halafu hapo bado akae kwa dk kama 5 hivi chini ya maji..makanisa mengine wana visima vya.kubatizia..au huyu aliona yupo mto Jordan nini? huo utakua mtaro ama korongo..akitoka hapo homa ya matumbo inamngoja..lazima pastor.amtapishe maji la sivyo duuu..sisemi zaid...
 
ni kweli mkuu lakin hapa tunaijadili picha na uzuri miguu imeonekana just nimefananisha tu hiyo miguu. 'niliwahi soma PHOTOGRAPHY INTERPRETATION nimetumia hii knowledge' samahan kama umekwazika.

Peleka ujinga wako huko.
 
Hawa ni wale wanaojidai wameokoka kuliko YESU...Nini huko kuzamishana kwenye maji machafu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom