Raha ya kutongoza na kutongozwa

Raha ya kutongoza na kutongozwa

Na kwa nini ununue kondoo mwingine wakati tayari unaye nyumbani umemuacha, kama sio tamaa hiyo ndio hiyo tunasema michepuko. Ridhikeni na mlicho nacho ndugu. Kuna mmoja yuko eehee Mtoto umeumbika wewe kama sijui kitu gani, inaelekea mtamu sana, wewe , I'm like what the hell wrong with you , yaani kwa Kweli inaboa sana, its disgusting to me , it makes me sick very sick of my stomache , please watuheshimu ili na wao wapate kuheshimiwa back. Asante!

beberu mzuri, ni yule anayehudumia kotekote,,!!
viumbe vyote vya kiume hapa duniani viubwa kutoa huduma kama hiyo forexemple
bata,kuku,beberu,punda,panzi,ndege, yaani vitu vyote. vyote hivyo havilalamiki,.
 
Na kwa nini ununue kondoo mwingine wakati tayari unaye nyumbani umemuacha, kama sio tamaa hiyo ndio hiyo tunasema michepuko. Ridhikeni na mlicho nacho ndugu. Kuna mmoja yuko eehee Mtoto umeumbika wewe kama sijui kitu gani, inaelekea mtamu sana, wewe , I'm like what the hell wrong with you , yaani kwa Kweli inaboa sana, its disgusting to me , it makes me sick very sick of my stomache , please watuheshimu ili na wao wapate kuheshimiwa back. Asante!

Ukitongozwa jua umeheshimiwa ,ulitaka ubakwe ,hih ? hata wanawake wanabaka ila wao hutubaka sisi watoto wadogo ,mi niliwahi kudondokewa na mwalimu wa kike shuleni ,nilikuwa napasi kwenye somo lake ,nilifaidi ila siku ya siku ,alikuwa nafikiri kashindwa kujizuia amekaa kwenye kiti chake basi kila tukigona mamcho naona mwenzangu kama ananiambia kitu ,nilihama shule,jimama bonge hilo ila alikuwa na sura zke za kuvutia ,nilikuwa nio kwanza nipo darasa la sita,darasani walihisi ila hawakuwa na ushahidi.

Na huko kutazamwa ,jamani sasa nyie tumeumbiwa sisi ,matamanio yetu mnayo au yako kwenu ,lipi la ajabu ? Ushukuru unatizamwa ,unataka kunambia kwa nini unajipamba ,kwa nini unajitazama kwenye kioo ,kwa nini unajitia manukato ,wanja,lipsti na mambo kibao ,zaidi ya yote hubakii ndani unatoka nje kutembeatembea ,iwe ni bure ? No way .lazima kuna kitu kinakupelkea kufanya yote hayo ,sasa anaepaswa kukuona wewe umependeza ni nani ,mimi sijui kama umeolewa au hujaolewa njia ya maingiliano kati yako mimi na wewe ni kusalimiana ili kuvuta kujuana ila wewe tabu yako unatanguliza Shikamoo hivi wewe umejiona mdogo bado ,unajua si uzuri kuogopa ukubwa wa samaki uliza bei tu na ndio wengi tufanyavyo !
 
beberu mzuri, ni yule anayehudumia kotekote,,!!
viumbe vyote vya kiume hapa duniani viubwa kutoa huduma kama hiyo forexemple
bata,kuku,beberu,punda,panzi,ndege, yaani vitu vyote. vyote hivyo havilalamiki,.

Uko kwenye kundi hilo nini? Why unashabikia? Honestly Mtu wa namna hii akiniongelea huu uchafu wake, trust me , we gonna have problems. Kwanza namdharau, popote nimuonapo , heshima ni kitu cha bure , niheshimu nami nipate kukuheshimu sasa huniheshimu elewa hata mimi pia sitakuheshimu kabisaa . Asante !
 
Uko kwenye kundi hilo nini? Why unashabikia? Honestly Mtu wa namna hii akiniongelea huu uchafu wake, trust me , we gonna have problems. Kwanza namdharau, popote nimuonapo , heshima ni kitu cha bure , niheshimu nami nipate kukuheshimu sasa huniheshimu elewa hata mimi pia sitakuheshimu kabisaa . Asante !

heshima ni kitu cha bure. sawa hilo linajulikana kila kona ya dunia

mwanamke ni mwanamke tu, kwamwe usijilinganishe na mwanaume.,! mimi naruhusiwa kuoa wanawake hata watano na jamii isinishagae, lakn wewe huruhusiwi kuolewa na wanaume watano hujiulizi why?
 
heshima ni kitu cha bure. sawa hilo linajulikana kila kona ya dunia

mwanamke ni mwanamke tu, kwamwe usijilinganishe na mwanaume.,! mimi naruhusiwa kuoa wanawake hata watano na jamii isinishagae, lakn wewe huruhusiwi kuolewa na wanaume watano hujiulizi why?

Hapa tunazungumzia kuhusu maswala kutojiheshimu. Sikatai sisi wanawake ni wazuri. tatizo langu why wanasubiri mpaka asalime ndio wanaanza kuongea non sense things? Na kama Wana Nia nzuri asimuombe waongee in private place at the right time. Kuliko kujidhalilisha mbele za watu wengine. My dear I don't think so you got my point . Just imagine your own daughter going through, or in the middle of this drama would you respond the same way as you right .now? This is nonsense kuowa wake na kutamani ni tofauti here . watu kama wanahitaji kujiheshimu, na kuheshimu watoto Wa watu , period. Kama hawapendi kuamkiwa watuite pembeni na kusema hivyo lakini kuongea none sense eti unataka kuninyima nini? For what reason ? Because nimekuheshimu na kukuamkia . This is very disrespectful serious . People need to change. Thanks.
 
Sikumbuki Mara ya mwisho ni mwaka gani...nowadays najikuta npo nao kitandan tena sikumbuki nmefika nao vipi na asubui imeshafika...aaaahhh

We dogo si ndio unalia lia kuachana na tabia ya kwenda bar ili uoe.. Aisee JF kuna ufisadi wa bongo za watu. Haya kila la heri.
 
Uko kwenye kundi hilo nini? Why unashabikia? Honestly Mtu wa namna hii akiniongelea huu uchafu wake, trust me , we gonna have problems. Kwanza namdharau, popote nimuonapo , heshima ni kitu cha bure , niheshimu nami nipate kukuheshimu sasa huniheshimu elewa hata mimi pia sitakuheshimu kabisaa . Asante !

Simple just say "personality is real but attitude depend on how you treat each other"
 
Sipendi kuulizwa kabila gani naona kama unataka kunibagua ,nyerere alinifundisha kuepuka ukabila ,mi mpole tu,mcheshi,msikilizaji ,alafu napenda kununa !

Sasa huoni kuwa kwa kusema hayo tu umetubagua?
 
Kama hujawahi kutongoza basi jua una kasoro na kama hujawahi kutongozwa basi jua umepungua !

Kijana unajua kutongoza kupo, lakini kuna watu hawapendi kutongoza kwa kuhofia kuwa wanaweza kudhalilika au kujidhalilisha. Hebu chukulia wewe ni mwalimu wa madrasa au ni kijana mchungaji/muinjiristi na jamii inakujua hivyo na kukupa heshima, unadhani utaweza kumtongoza mtu hapo? labda uwe hujitambui, kumbuka kutongoza sio kuchumbia, pia kuna watu hawapendi ngono kabla ya ndoa.
 
Wapi tena huko dear?

Enzi za chekechea dear sasa aaaaah hhhaaaaaa, waliokuwa wakinivizia nikitumwaga dukani , mpaka na ngumi zilipigwa after all Hakuna hata aliyenipata, sasa aaahhhaaa wote walikula huu na hasara juu, aaaaaaahhjhaaaa. Thanks!
 
Kijana unajua kutongoza kupo, lakini kuna watu hawapendi kutongoza kwa kuhofia kuwa wanaweza kudhalilika au kujidhalilisha. Hebu chukulia wewe ni mwalimu wa madrasa au ni kijana mchungaji/muinjiristi na jamii inakujua hivyo na kukupa heshima, unadhani utaweza kumtongoza mtu hapo? labda uwe hujitambui, kumbuka kutongoza sio kuchumbia, pia kuna watu hawapendi ngono kabla ya ndoa.


Ahhhaaaaaaaaa no comment dear. Thanks!
 
Enzi za chekechea dear sasa aaaaah hhhaaaaaa, waliokuwa wakinivizia nikitumwaga dukani , mpaka na ngumi zilipigwa after all Hakuna hata aliyenipata, sasa aaahhhaaa wote walikula huu na hasara juu, aaaaaaahhjhaaaa. Thanks!

Aaaaaaa!! kwanini ulikuwa unaninyima dear?
 
Aaaaaaa!! kwanini ulikuwa unaninyima dear?

Hujatulia muda haukuwa muafaka, enzi zile Aaaaaaaa, nilifurahia movie ya bure ya ndondi aka ngumi zilizochapwa kisa loveissweet Jamani mapenzi yanatoka mbali, Aaaaa aaahhhaaa. Asante!
 
Hujatulia muda haukuwa muafaka, enzi zile Aaaaaaaa, nilifurahia movie ya bure ya ndondi aka ngumi zilizochapwa kisa loveissweet Jamani mapenzi yanatoka mbali, Aaaaa aaahhhaaa. Asante!

Basi ntajaribu sasa hivi ila ndondi zisitokee tu.
 
Siku hizi unapewa kwanza kazi kiutaniutani na msg hata bila kutongoza, baada ya kazi ndo anakuuliza:
"do U love me??"

Nipo:
"actually I dont hate U, I just like U, love is too far to reach"!!

Teh teh teh!!
 
Back
Top Bottom