Gari Moshi
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 681
- 421
Wa siku hizi wamesha anza mapema mapenzi ,tena na wengi tofauti tofauti sura za wanaume zimezoeleka,tena kiutupu wamesha ziona nyingi ukimuhitaji hatakuangalia kama kamera ya getini.Sasa hivi haki sawa.Hata walio oana inabidi wachague nani awe na madaraka katika nyumba hiyo kati ya Mme na Mke.