Rage Tabora tunakufa

Rage Tabora tunakufa

black and white

Senior Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
102
Reaction score
26
hahaaaa Rage yanı unatutafuna wanatabora bila hata huruma ahadi lukukı leo bungeni unalala ukıongea unaongea pumba hivi Rage tabora hatuna matatızo.Tabora elımu dunı,upungufu mkubwa wa vıfaa muhımu hospıtal ya mkoa,uwanja wa ndege hovyooo,
barabara za ndani shıdaaa na hızochache zınazojengwa wakandarası wanachakachuwa,jeshı la police ufısadı na rushwa,mninga unazıdı kuvunwa na tunakoeleka mninga utatokemea kabısa na kubakı hıstorıa kuwa tabora kulıkuwa na mnınga,ukıenda edara ya majı ili uvute majı wanakwambıa vıfaa hakuna tumeagıa sasa haya maneno tumeagıza yametuchosha.

Wewe ngoja mwaka 2015,
 
huyo hvi ni mbunge? haaaa! ndg zangu wanatabora yule hafanyi kazi mliyomtuma bali anafanya kazi za MWIGULU NA CCM Na shughuli za magamba wenzake.
 
simba imemshinda tabora ataiweza, The people of tabora need to get rid of that thug, He is completely useless to the development of Tabora we need change
 
Wewe utakuwa umetumwa.

Join Date : 25th April 2013

Posts : 51

Rep Power : 313

Likes Received
8

Likes Given
0
 
Si mlimtosa, Silaju Kaboyonga(rip) aliyekuwa mchumi nguli. Acheni unafiki wenu. Acheni Rage mtoto wa mjini apete.
 
Mwacheni Rage aburudike huko bungeni na usingizi maana mwisho wake umekaribia, Tutawasha moto wa kufa mtu 2015 mpaka atajuta kuzaliwa.
 
Hapo mmelamba KASA...Labda Mbwiga wa Mbiguke ana jina mujarab zaidi...Jipangeni 2015 mpate chaguo la watu wa Tabora... Mtoto akigeuka shoga dawa ni kumpotezea tu ...
 
Wewe punguani kweli kwahiyo ulitaka nikae kimya mpaka nitakapo vikisha mwaka jf,kwahiyo unataka kuniambia na rage bungeni bado mgeni kwahiyo hapashwi kuitetea tabora mpaka 2014.nyiye ndio wale wabunge mnaokuja na sera ya .. Kamuda kalikuwa kadogo niongezeni miaka mitano ahadi zangu zote zitakamilika.shame on you.
 
Wewe utakuwa umetumwa.

Join Date : 25th April 2013

Posts : 51

Rep Power : 313

Likes Received
8

Likes Given
0

Hivi wewe umeleweshwa na Sumu unazotembea nazo? Mtu asiseme ukweli mnajitokeza na kumpinga. Serukamba you! Hilo unalolipigia chapuo watu wa Tabora wamelichoka hata MaCCM wenzako wanaliona ni kituko.
Njaa mbaya, 7000 zitakukunjulisha marinda!
 
kwanı ukıtumwa kuongea ukwelı kunaubaya ganı... ukwelı unauma
 
Rage is useless yes lakini sisi wanyamwezi pia ni useless,Charles Kabeho,RIP, alikuwa mbunge na waziri,Samuel Sita the same thing,Juma Kapuya wale wale wamekuwa kwenye system kama mawaziri lakini wameifanyia nini Tabora?.
Ndugu zangu wanyamwezi 2015 tuonyeshe mabadiliko,wewe Sikonge,2015 rudi Sikonge ukamuondoe Nkumba si unaona eti anamshambulia Filikunjombe kwamba anaisaliti CCM wakati barabara ya Ipole Inyonga inapitika kipindi cha kiangazi tu.Vijana wa kinyamwezi haya shime 2015 hata kama uko Manhattan rudi Kikungu tukakomboe Mkoa wetu
 
Wewe utakuwa umetumwa.

Join Date : 25th April 2013

Posts : 51

Rep Power : 313

Likes Received
8

Likes Given
0

Sasa ndio nini hii? We jamaa huwa unanisikitishaga sana kwa comment zako. Laana ya kula pesa za mafisango zitamtesa sana rage.
 
Hivi wana Tabora mlitumia kigezo gani kumpata Rage maana sipati picha ati!
 
wanyamwezi wenzngu tujikomboe kifikra kwanza kuliko kulalamika kila siku,kulalamika hatutatusaidia kitu,2fanye mapinduzi sasa,2amkeni sasa na kuwaondoa viongozi hawa walio lala usingizi wa pono,wanahojali ni kufurahisha watawala wao na kutetea chama chao kuliko kuwatetea wananchi wao,tabora ni mkoa wenye rasilimali nyngi sana lakini 2mekosa viongozi wenye maono na wenye mapenzi ya dhati ya kuwaletea maendeleo va kweli,2mbaku inatoka tbr lakini tangu uhuru mpaka leo hakuna hata mpango wa kujenga kiwanda cha kusindika 2mbaku ili kutoa ajira kwa vijana,kwa hakika sera za ccm kuleta maendeleo tbr imeshindikana sasa wanyamwezi wenzang 2badili uwelekeo 2tafute na chama kingine jaman kwan sis emu siyo mama yetu
 
Tabora bana haibadiliki. Nilikuwepo 1993 nikarudi mwaka huu iko vile vile. Naona kama imechoka zaidi.
 
Tulieni Mwenyekiti anakula kuku na malkia wa nyigu UK. Amekwenda kwa Sunderland kuchukua uzoefu wa kupigwa bao 6 (Na Aston Villa) ili Yanga wakute mwali ana uzoefu wa kuvurugwa
 
Si mlimtosa, Silaju Kaboyonga(rip) aliyekuwa mchumi nguli. Acheni unafiki wenu. Acheni Rage mtoto wa mjini apete.


Wote walewale tu!Kaboyonga alitufilisia kiwanda cha nyuzi na kutuacha wanyamwezi majobless! Miaka yake mitano ya ubunge hajafanya lolote kama lipo nitajie?

Lakini 2015 hatuwezi kufanya upuuzi tulioufanya 2010 kumpa ubunge musazi kama huyu msomali.
 
Back
Top Bottom