Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,538
Eti 'uwalali' ๐ ๐ ๐๐๐Kwanz aaojjiwe uwalali wa uraia wake
FaizaFoxy njoo uchukue hili jinga ukalifundishe lugha vizuri.
Eti 'uwalali' ๐ ๐ ๐๐๐Kwanz aaojjiwe uwalali wa uraia wake
Huu ni ubaguzi sasa.Kwanz aaojjiwe uwalali wa uraia wake
Yanga lazma akae,rage hadanganyMakonda anataka kwanza ampige GSM za usso ili aachane na Kiwanja chake. Huku KMC kule Makonda pale Fans wa Simba mnazidi kuongeza Haters kazi ipo
Nataman sana Rage azibe pengo la Hanspope lkn naona kama amepwaya, Angekuwepo yule Mwanaume lazima tungesha bakiwa na pengo la Point 5 kazi yake haikuwa haba anyway ngoja tuendelee kupambana kimia kimia. RIP PopeYanga lazma akae,rage hadangany
Makonda huyu huyu asie na marinda ndio apambane na Wanaume rijali wenye marinda yao?Makonda anataka kwanza ampige GSM za usso ili aachane na Kiwanja chake. Huku KMC kule Makonda pale Fans wa Simba mnazidi kuongeza Haters kazi ipo
Sijakuona rafikiMtoto hakimbiwi.
Atasema alinukuliwa vibaya.Leo Rage anasemaje?
Rage ni mzee mla rushwa,kauli zake si za kuchukulia kwa uzito wowote.MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage amesema hakuna wa kuizuia Simba kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, lakini akajilipua kwa kutaja mechi nne za kuitoa Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara.
Rage amesisitiza Yanga kukaa kileleni kwa msimamo hakuwezi kuinyima Simba ubingwa msimu huu na ana uhakika kutokana rekodi na kiwango cha Mnyama.
โYanga wataanza kupotea dhidi ya KMC, Azam FC, Simba na Mbeya City wataambulia sare tayari mnyama atakuwa ametetea taji lake mara ya tano mfululizo hilo lipo wazi kutokana na timu hiyo kuwa wanyonge wa timu nilizozitaja pamoja na kupata matokeo mzunguko wa kwanza,โ alisema Rage mwenye uzoefu na soka la Tanzania na Afrika.
Rage ambaye ana uelewa mkubwa wa sheria na kanuni za soka, aliongeza, ndani ya misimu minne ambayo Simba imetwaa mataji Yanga imekuwa ikiongoza ligi baadae inaishia kutazama taji likienda Msimbazi.
Yanga ndiyo timu pekee ambayo haijapoteza mchezo hadi sasa huku ikiongoza msimamo wa pointi 45. Simba ni ya pili ikiwa na pointi 37 lakini imeshapoteza mechi mbili huku Namungo ikipoteza nne na Azam sita.
ROBO FAINALI CAF
โSimba ni timu ya kimataifa, kazi yao kubadili ndege angani, nina uhakika na hilo, kikubwa wachezaji wafanye wanachostahili chini ya maelekezo ya kocha wao,โ alisema na kuongeza.
โHii ni nafasi ya Simba kupambania taji la Afrika, wanaweza kufanikisha hilo, kwani kundi lao lipo wazi, kwanza wana uzoefu na hilo wanachotakiwa ni umakini mkubwa.โ
Naye kiraka wa Simba, Erasto Nyoni amewapongeza wachezaji wenzake; โUmoja ndio kila kitu maana wachezaji wote kwa umoja walipambana na kupata pointi tatu muhimu katika mchezo wa Berkane, pia kufanyia kazi kile ambacho mwalimu alitaka kifanyiwe kazi.โ
Ya ni kweli KMC kashindaYanga lazma akae,rage hadangany
Malizia tu kakaUtopolo safari hii.....
Malizia tu kaka
Mtuambie tena ...nani wakutusimamisha .....Mtoto hakimbiwi.
Njaa mbaya sana.Huyu mzee anatafuta cheo kwa nguvu pale Simba anaongea kila siku ili Mo anyone ampe nafasi vinginevyo uwezo wake wa kufikiri na kujenga hoja ni mdogo sana ndiyo maana sehemu zote alizotumikia kwenye maisha yake amefeli kwa kiwango Cha juu.Mfano tu Ubunge,Uongozi wake ndani ya Simba. Nk ,Ni Mtu fulani Mjanja Mjanja na Tapeli wa mjini si wa kumsikiliza na kufuata ushauri wake hata KidogoMWENYEKITI wa zamani wa Simba, Ismail Aden Rage amesema hakuna wa kuizuia Simba kutinga hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, lakini akajilipua kwa kutaja mechi nne za kuitoa Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara.
Rage amesisitiza Yanga kukaa kileleni kwa msimamo hakuwezi kuinyima Simba ubingwa msimu huu na ana uhakika kutokana rekodi na kiwango cha Mnyama.
โYanga wataanza kupotea dhidi ya KMC, Azam FC, Simba na Mbeya City wataambulia sare tayari mnyama atakuwa ametetea taji lake mara ya tano mfululizo hilo lipo wazi kutokana na timu hiyo kuwa wanyonge wa timu nilizozitaja pamoja na kupata matokeo mzunguko wa kwanza,โ alisema Rage mwenye uzoefu na soka la Tanzania na Afrika.
Rage ambaye ana uelewa mkubwa wa sheria na kanuni za soka, aliongeza, ndani ya misimu minne ambayo Simba imetwaa mataji Yanga imekuwa ikiongoza ligi baadae inaishia kutazama taji likienda Msimbazi.
Yanga ndiyo timu pekee ambayo haijapoteza mchezo hadi sasa huku ikiongoza msimamo wa pointi 45. Simba ni ya pili ikiwa na pointi 37 lakini imeshapoteza mechi mbili huku Namungo ikipoteza nne na Azam sita.
ROBO FAINALI CAF
โSimba ni timu ya kimataifa, kazi yao kubadili ndege angani, nina uhakika na hilo, kikubwa wachezaji wafanye wanachostahili chini ya maelekezo ya kocha wao,โ alisema na kuongeza.
โHii ni nafasi ya Simba kupambania taji la Afrika, wanaweza kufanikisha hilo, kwani kundi lao lipo wazi, kwanza wana uzoefu na hilo wanachotakiwa ni umakini mkubwa.โ
Naye kiraka wa Simba, Erasto Nyoni amewapongeza wachezaji wenzake; โUmoja ndio kila kitu maana wachezaji wote kwa umoja walipambana na kupata pointi tatu muhimu katika mchezo wa Berkane, pia kufanyia kazi kile ambacho mwalimu alitaka kifanyiwe kazi.โ