Akizungumza leo makao makuu ya club amesema kuwa TFF hawana mamlaka ya kuagiza kuitishwa mkutano wa simba kwa hiyo hakuna mkutano wowote utakaofanyika ndani ya hizo siku 14. Pia amesema ameivunja kamati yote ya utendaji na amemteua Richard Michael Wambura kufanya shughuli zote za klabu. Nawasilisha jamvini tujadiliane.